Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumuko wa bei wafikia 6.3%

OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema mfumuko wa bei kwa mwezi Aprili umeongezeka kwa kiwango cha asilimia 6.3. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Bei za vyakula zapaa, mfumuko wa bei mwezi Machi wafikia asilimia 4.2

Upungufu  wa chakula kwa baadhi ya mikoa nchini umeendelea kusababisha ongezeko la mfumuko wa bei wa Taifa kutoka asilimia 4.2 hadi asilimia 4.2 ndani ya mwezi mmoja.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumuko wa bei wafikia 6%

OFISI ya Takwimu imesema mfumuko wa bei umeongezeka kutoka asilimia 5.6 hadi asilimia 6.0 kwa kipindi kilichoishia Desemba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumuko wa bei wafikia asilimia 6.5

MFUMUKO wa bei wa taifa umeongezeka na kufikia asilimia 6.5 kutoka asilimia 6.3 Aprili mwaka huu, huku chanzo kikiwa ni upandaji wa bidhaa na huduma. Farihisi za bei nazo zimeongezeka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

BoT: Mfumuko wa bei wafikia 6%

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeeleza sababu za mfumuko wa bei kufikia asilimia 6.1 na kupanda kwa asilimia 0.1 ikilinganishwa na mwezi uliopita. Akizungumza na Tanzania Daima katika viwanja vya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumuko wa bei waongezeka

OFOISI ya Taifa ya Takwimu imesema kuwa mfumuko wa bei wa bidhaa za vyakula nyumbani na migawani umeongezeka Februari hadi asilimia 6.9 ukilinganishwa na asilimia 6.6 Januari mwaka huu. Akizungumza...

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumuko wa bei washuka

Mfumuko wa bei kwamwezi januari  umeshuka hadi kufikia asilimia 4.0 kutoka asilimia 4.8 ya Desemba mwaka jana  kutokana na kupungua kwa bei za bidhaa mbalimbali ikielezwa kwamba kupungua huko kulikuwa hakujatokea kwa miaka miwili iliyopita.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mfumuko wa bei wapungua

OFISI ya Takwimu ya Taifa imesema mfumuko wa bei wa Juni umepungua hadi asilimia 6.4 kutoka asilimia 6.5 ilivyokuwa Mei mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...

 

10 years ago

Mtanzania

Mfumuko wa bei wapaa

NA EVANS MAGEGE
WAKATI thamani ya shilingi ikiendelea kuporomoka katika soko la fedha za kimataifa, mfumuko wa bei za bidhaa nao umepaa kutoka asilimia 4.3 hadi 4.5.
Taarifa iliyotolewa jana na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) kwa waandishi wa habari ilieleza kuwa mfumuko wa bei kwa mwezi Aprili mwaka huu umepaa kwa sababu ya ongezeko la bei za bidhaa za vyakula na vinywaji baridi.
Akizungumza kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, Mkurugenzi wa Sensa na Takwimu za Jamii,...

 

10 years ago

Mwananchi

Mfumuko wa bei wapungua nchini

Mfumuko wa bei kwa mwaka ulioishia Desemba mwaka jana umeshuka hadi kufikia asilimia 4.8 kutoka asilimia 5.8 ya Novemba kutokana na kupungua kwa bei za bidhaa mbalimbali ikielezwa kwamba kupungua huko kulikuwa hakujatokea kwa miaka miwili iliyopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani