Mfumuko wa bei wafikia asilimia 6.5
MFUMUKO wa bei wa taifa umeongezeka na kufikia asilimia 6.5 kutoka asilimia 6.3 Aprili mwaka huu, huku chanzo kikiwa ni upandaji wa bidhaa na huduma. Farihisi za bei nazo zimeongezeka...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi08 Apr
Bei za vyakula zapaa, mfumuko wa bei mwezi Machi wafikia asilimia 4.2
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Mfumuko wa bei wafikia 6%
OFISI ya Takwimu imesema mfumuko wa bei umeongezeka kutoka asilimia 5.6 hadi asilimia 6.0 kwa kipindi kilichoishia Desemba mwaka jana. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana,...
11 years ago
Tanzania Daima09 May
Mfumuko wa bei wafikia 6.3%
OFISI ya Taifa ya Takwimu imesema mfumuko wa bei kwa mwezi Aprili umeongezeka kwa kiwango cha asilimia 6.3. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa...
11 years ago
Tanzania Daima18 Apr
BoT: Mfumuko wa bei wafikia 6%
BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeeleza sababu za mfumuko wa bei kufikia asilimia 6.1 na kupanda kwa asilimia 0.1 ikilinganishwa na mwezi uliopita. Akizungumza na Tanzania Daima katika viwanja vya...
9 years ago
MichuziMFUMUKO WA BEI WA NOVEMBA UMEONGEZEKA KWA ASILIMIA 6.6
10 years ago
StarTV09 Jan
Mfumuko wa bei ulipungua na kufikia asilimia 6.1 mwaka jana.
Na Immaculate Kilulya,
Dar Es Salaam.
Mfumuko wa bei wa Taifa mwaka jana umepungua na kufikia asilimia 6.1 kutoka wastani wa asilimia 7.9 mwaka 2013 kutokana na kupungua kwa bei za baadhi ya bidhaa za vyakula na zisizo za vyakula.
Miongoni mwa vyakula vilivyopungua ni Mahindi kwa asilimia 11.3, unga wa mahindi asilimia 7.6, Samaki asilimia 4, Ndizi za kupika asilimia 3.2, Mbogamboga asilimia 11.5, Mihogo asilimia 10.5 na Sukari asilimia 4.2.
Kwa upande wa baadhi ya bidhaa zisizo za...
10 years ago
MichuziMFUMUKO WA BEI WAONGEZEKA KIDOGO KUTOKA ASILIMIA 4.0 MWEZI JANUARI, 2015 HADI KUFIKIA ASILIMIA 4.2 MWEZI FEBRUARI, 2015
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Ofisi ya Taifa ya Takwimu yasema mfumuko wa bei umeshuka kufikia asilimia 6.1
Taarifa ikichuliwa na wanahabari.
Mwanahabari Hilda kutoka gazeti la Daily News akichukua taarifa hiyo kwa umakini zaidi.
Wanahabari wakichukua taarifa hiyo.
Na Dotto...
9 years ago
MichuziOFISI YA TAIFA YA TAKWIMU YASEMA MFUMUKO WA BEI UMESHUKA KUFIKIA ASILIMIA 6.1
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam.OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS) imesema mfumuko wa bei...
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10