LIGI TANZANIA KUCHEZWA BILA WATAZAMAJI
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ra9m_RTU9QA/XnJAnoHW-iI/AAAAAAALkO0/vk6kDq8DfjMP6pIhIUj0i2hYFMG806esQCLcBGAsYHQ/s72-c/maxresdefault.jpg)
KIKAO cha Kamati ya Uongozi cha TFF kimeazimia kuwa, baada ya siku 30 serikali itakaporuhusu michezo kuendelea, mechi za ligi kuu, ligi daraja la kwanza, ligi daraja la pili na ligi ya mabingwa wa mikoa (RCL) zitachezwa bila watazamaji, ili kudhibiti kusambaa kwa virusi vya Corona.
Taarifa hiyo imetolewa leo na Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi, Almas Kasongo mara baada ya kikao hicho ambacho kimehudhuriwa pia na Rais wa TFF, Wallace Karia.
Kasongo amesema pia kuwa wachezaji wote watafanyiwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Sep
Ligi Kuu Bara sasa kuchezwa usiku
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-LZXZV4uwRSs/VicG5DuwwNI/AAAAAAAIBbY/GqtnuWD1i6A/s72-c/vodacom.png)
RAUNDI YA 11 LIGI KUU YA VODACOM KUCHEZWA DISEMBA 12
![](http://2.bp.blogspot.com/-LZXZV4uwRSs/VicG5DuwwNI/AAAAAAAIBbY/GqtnuWD1i6A/s640/vodacom.png)
5 years ago
CCM BlogSERIKALI YARUHUSU LIGI KUU NNE ZA SOKA KUCHEZWA DAR NA MWANZA KUANZIA MWEZI UJAO
Serikali imeruhusu ligi kuu nne kuanza kuchezwa nchini kuanzia Juni 1, 2020 kwa tahadhari zote ili kumpata bingwa wa ligi hizo na timu mwakilishi katika Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Harrison Mwakyembe katika mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dodoma kuhusu uamuzi wa Serikali wa kuanza kwa ligi hizo baada ya kusitishwa kwa muda kufuatia ugonjwa mlipuko...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s72-c/images.jpg)
Ligi Daraja la Pili kuanza Oktoba 7, kuchezwa makundi manne ya timu sita sita nyumbani na ugenini
![](http://4.bp.blogspot.com/-j-_cqw-T2tA/VZj5NkiD89I/AAAAAAAHnC8/ERbVjow04_U/s400/images.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s72-c/ADDD.png)
MECHI KATI YA TANZANIA NA ALGERIA KUCHEZWA NOVEMBA 14 MWAKA HUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-itvoSU-OT4E/Vh5kZCkpMSI/AAAAAAABXTc/OUUgcg6EE7o/s640/ADDD.png)
Taifa Stars inayodhaminiwa na bia ya Kilimanjaro Premium Lager itacheza mchezo huo dhidi ya Mbweha wa Jangwani siku ya Jumamosi Novemba 14, na mchezo wa marudiano kuchezwa siku tatu baadae Algeria 17 Novemba, 2015.
Kikosi cha Stars chini ya...
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s72-c/001.Ferrao.jpg)
WADHAMINI WAKUU WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA WAZITAKIA KILA LA HERI TIMU 16 ZINAZOSHIRIKI LIGI KUU 2015/2016 INAYOTIMUA VUMBI KESHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-3OtAUFP4jcE/VfJgdmfF7cI/AAAAAAAH384/FxxMDPiyTxg/s640/001.Ferrao.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3rPnvKAR8Ko/VfJghZutsEI/AAAAAAAH39A/NbQnv8YM4SA/s640/002.Ferrao.jpg)
Ferrao. NA MWANDISHI WETUWADHAMINI wakuu wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, wamezitakia kila la heri timu zote 16 zinazoshiriki ligi hiyo inayotarajiwa kuanza Jumamosi hii kwenye viwanja mbalimbali nchini.
Akizungumza jijini Dar es Salaam leo, Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania,Ian Ferrao, alisema kuwa ni fahari kubwa kwao kuona msimu mpya wa ligi hiyo unaanza hivyo kutoa fursa kwa wapenzi wa soka nchini na kwingineko kupata...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-WtucYDhsIRE/XmYZObXsynI/AAAAAAALiMc/Z8GpYXBKIY45u2h4-T8IK-7jldtvumqpgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B13.22.50.jpeg)
WATAZAMAJI 59,325 WAINGIZA MILION 545 - TFF
![](https://1.bp.blogspot.com/-WtucYDhsIRE/XmYZObXsynI/AAAAAAALiMc/Z8GpYXBKIY45u2h4-T8IK-7jldtvumqpgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-09%2Bat%2B13.22.50.jpeg)
Jumla ya watazamaji 59,325 wameweza kuingia na kuangalia mchezo wa Ligi Kuu Tanzania bara kati ya Yanga na Simba katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mapato ya mchezo huo ni Milioni 545.4 (545, 422,000) kwa tiketi za VIPA, B &C , machungwa na Mzunguko.
Shirikisho la Mpira wa Miguu Nchini (TFF) limetoa taarifa ya mapato ya mchezo namba 270 kati ya Yanga na Simba uliochezwa katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Mchezo huo uliokuwa unasubiriwa kwa...
9 years ago
Bongo518 Dec
‘Hello’ ya Adele yafikisha watazamaji zaidi ya Milioni 700 Youtube
![adele-25-cover](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/adele-25-cover-300x194.jpg)
Tukiwa tunaelekea kuumaliza mwaka 2015, muimbaji kutoka Uingereza, Adele anaendelea kufanya vizuri kutokana na album yake mpya ‘25’.
Ikiwa zimebaki siku nne video ya hit single yake ‘Hello’ ifikishe mwezi mmoja toka ilipowekwa kwenye mtandao wa Youtube, tayari imetazamwa zaidi ya mara milioni 700.
Mpaka sasa video ya wimbo huo unaopatikana kwenye album yake mpya ‘25’ ina views 739,530,188.
2015 umekuwa ni mwaka mzuri kwa Adele ambaye alikaa kimya kwa miaka mitatu toka alpoachia album yake...