Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


PWANI WAINGIZA MABILIONI YA FEDHA KUPITIA MISITU

Na John Gagarini, BagamoyoMKOA wa Pwani umefanikiwa kukusanya kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni nane kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kipindi cha mwaka 2013/2014.
Hayo yalisemwa juzi wilayani Bagamoyo na Ofisa Misitu wa mkoa huo Daniel Isara, wakati wa maadhimisho ya upandaji miti kimkoa iliyofanyika kwenye eneo la la Gareza la Kigongoni ambapo ilipandwa zaidi ya miti 3,000.
Isara alisema kuwa fedha hizo zimetokana na kukabiliana na uharibifu wa rasilimali misitu na...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Zabuni zatafuna mabilioni ya fedha nchini

>Wakati matukio kadhaa ya ufisadi wa mamilioni ya fedha za umma yakiwa bado yanaendelea kujadiliwa nchini, imeelezwa kuwa Serikali hupoteza kiasi kikubwa cha fedha kwenye zabuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Manyara watenga bajeti ya mabilioni ya fedha

Mkoa wa Manyara kwa mwaka umekadiria kutumia Sh165.3 bilioni kwa ajili ya kutengeneza bajeti yake ya miaka ya 2014/15 na 2016/17.

 

9 years ago

Dewji Blog

BREAKING NEWS: Serikali yatoa tamko juu ya mabilioni ya fedha za miradi ya MCC

5a

Kamishna Mkuu wa bajeti kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi, Johnny Cheyo (Picha ya Maktaba).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Kufuatia suala la Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani kuonya juu ya hali ya kisiasa Zanzibar na matukio mengine yanayotokea hapa nchini huku ikielezwa kuwa inaweza kuathiri vigezo vya kuiwezesha Tanzania kupata msaada huo, Mapema leo Serikali ya Tanzania kupitia Wizara yake ya Fedha na Uchumi mbele ya waandishi wa habari, wamewatoa hofu watanzania...

 

11 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT BILAL MGENI RASMI KWENYE HAFLA YA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA MISITU YA MILIMA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilal akizungumza kwenye Hafla ya kuchangisha Fedha za kuwezesha Uhifadhi wa misitu ya milima ya Toa la mashariki kwenye ahotel ya Hyatt Regency Jijini Dar es salaam. Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania Dkt Mohammed Gharib Bilali akizindua Tovuti ya (EAMCEF)kwajili ya kuwezesha kuchangia kwa njia ya mtandao kwenye,Hafla ya kuchangisha Fedha za Uhifadhi wa Misitu ya Milima ya Toa ashariki iliyofanyika kwenye hotel ya Hyatt...

 

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA

 Moto ukiendelea kuwaka kabla ya kuanza kuzima na ntambo wa zima moto Mtambo wa zima moto ukirusha maji umbali wa mita 100 kuzima moto uliokuwa unawaka katika eno hilo wakati wa tukio la uzinduzi wa mtambo huo uliofanyika Mlandizi mkoani Pwani Mtambo wa kuzima moto ukiendelea kutoa maji kwa ajili ya kuzima moto uliokuwa umewashwa na watumishi wa TFS kwa ajili ya kuonesha uwezo wa mtambo huo kwenye kuzima moto Watumishi wa TFS ambao wamepata mafunzo ya kuzima moto kwa kutumia mtambo huo...

 

11 years ago

Michuzi

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) YANYA ZIARA NA WAANDISHI WA VYOMBO VYA HABARI KUJIONEA UTUNZAJI WA MISITU YA CHOME, SHENGENA-KILIMANJARO

 Meneja wa Usimamizi Endelevu wa Mazingira asilia Chome,William Nambiza akiwaonesha waandishi eneo lilillovamiwa na wachimbaji Madini na baadae walifanikiwa kuwaondoa, kwa siku walikuwa wanaingia zaidi ya 600,000 wakichanganyika na wa nchi jirani.  Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari waliofanya ziara ya kuona mazingira ya mto Chome ambalo ni chanzo cha maji yanayokwenda mto Saseni na kutoa maji kwa wakazi wa Same na kumwaga maji Bonde la umwagiliaji Ndungu,Ruvu na Pangani.  ...

 

10 years ago

Mwananchi

Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha

Timua timua ya makocha ndani ya Yanga imeibua ufisadi wa zaidi ya Sh3 bilioni ndani ya klabu hiyo huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika.

 

10 years ago

Michuzi

NJIA 8 ZA KUTENGENEZA FEDHA KUPITIA BIDHA YA TREVO


KUJUA NAMNA YA KUJIUNGATUMA EMAIL: kemi@trevo.co.tz

 

11 years ago

Michuzi

CHUO CHA USIMAMIZI WA FEDHA (IFM) KUANZA KUJENGA ENEO LA MSATA BAGAMOYO PWANI

Makamu mwenyekiti wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFM),Bw. Kasmiri Nyoni akizungumza kuhusu utanuzi wa chuo cha usimamizi wa fedha ambacho kinakaribia kuanza kujengwa katika eneo la Msata wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani,Chuo hicho kitakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi wapatao elfu thelathini.kulia kwa makamu wachuo ni Mkuu wa chuo cha ifm Profesa Godwin Mjema nakushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Kituo kinacho toa elimu kwa njia ya mtandao nchini Tanzania Charles Senkondo. uongozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani