NJIA 8 ZA KUTENGENEZA FEDHA KUPITIA BIDHA YA TREVO

KUJUA NAMNA YA KUJIUNGATUMA EMAIL: kemi@trevo.co.tz
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL
NJIA RAHISI YA KUTENGENEZA UTAJIRI- 2
Warren Buffett. WIKI iliyopita tuliangalia kanuni tano zilizomfanya tajiri namba moja duniani, Warren Buffett kufanikiwa katika maisha yake, leo tunamalizia kanuni tano za mwisho ambazo kama utazifuata, unaweza kufanikiwa kirahisi katika kuyafikia mafanikio. Usiwe mtu wa mikopo mikopo
Kuishi katika mikopo hakuwezi kukufanya ukawa tajiri. Tajiri maarufu duniani Mmarekani Warren Buffett hakuwahi kukopa, iwe kwa ajili ya...
10 years ago
Michuzi
NHBRA WAGUNDUA NJIA RAHISI YA KUTENGENEZA VIGAE VYA KUPAULIA NYUMBA



11 years ago
GPLVODACOM KUTENGENEZA AJIRA ZAIDI YA 400 KUPITIA MADUKA YAO
Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja wa kampuni ya Vodacom Tanzania, Upendo Richard (kushoto) akimkabidhi Meneja wa duka jipya la huduma kwa wateja la Vodacom Sinza Afrika Sana, Swaum Manengelo funguo ya duka hilo kuashiria ufunguzi rasmi wa duka hilo kuanza kutoa huduma kwa wateja. Akishuhudia tukio hilo katikati ni Meneja Uhusiano wa Nje wa kampuni hiyo, Salum Mwalim. Uzinduzi huo umefanyika hivi karibuni jijini Dar es...
11 years ago
Michuzi.jpg)
Vodacom kutengeneza ajira zaidi ya 400 kupitia madukayake yaliyokwisha kufunguliwa hadi sasa
Kampuni ya mawasiliano nchini ya Vodacom imendelea na azma yake ya kuhakikisha inawafaidisha wateja wake kupitia huduma zake huku wakitengeneza nafasi za ajira kupitia maduka yake yanayoendelea kufunguliwa nchi nzima.
Hayo yameelezwa na Mkuu wa Idara ya Mauzo ya Rejareja, Upendo Richard wakati akizindua duka jipya la Vodacom maeneo ya Sinza Afrika Sana ambalo linakuwa ni la 18 kwa wilaya ya Kinondoni pekee na la 79 Tanzania nzima.
“Dhamira kubwa ya kusambaza maduka haya ni kusogeza na...
11 years ago
MichuziTASWIRA MBALIMBALI UNAPOPANDA MLIMA KILIMANJARO KUPITIA NJIA YA LONDROS
Sehemu ya kwanza kabisa kuiona unapopanda mlima Kilimanjaro ni misitu uliotokana na kupandwa kwa miti inayotumika kwa ajili ya utengenezaji wa Mbao.

BOFYA HAPA KWA PICHA LUKUKI
10 years ago
Michuzi
DKT. SHEIN AZINDUA MAEGESHO NA NJIA YA KUPITIA NDEGE (APRON AND TAXIWAY) ZANZIBAR LEO


11 years ago
Mwananchi16 Sep
Changamoto za miamala ya fedha kwa njia ya mtandao- 2
Wiki kadhaa zilizopita niliandika makala kuhusu changamoto zilizopo katika kufanya miamala ya fedha kwa kwa njia ya mtandao.
10 years ago
Michuzi.jpg)
PWANI WAINGIZA MABILIONI YA FEDHA KUPITIA MISITU
Na John Gagarini, BagamoyoMKOA wa Pwani umefanikiwa kukusanya kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni nane kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kipindi cha mwaka 2013/2014.
Hayo yalisemwa juzi wilayani Bagamoyo na Ofisa Misitu wa mkoa huo Daniel Isara, wakati wa maadhimisho ya upandaji miti kimkoa iliyofanyika kwenye eneo la la Gareza la Kigongoni ambapo ilipandwa zaidi ya miti 3,000.
Isara alisema kuwa fedha hizo zimetokana na kukabiliana na uharibifu wa rasilimali misitu na...
Hayo yalisemwa juzi wilayani Bagamoyo na Ofisa Misitu wa mkoa huo Daniel Isara, wakati wa maadhimisho ya upandaji miti kimkoa iliyofanyika kwenye eneo la la Gareza la Kigongoni ambapo ilipandwa zaidi ya miti 3,000.
Isara alisema kuwa fedha hizo zimetokana na kukabiliana na uharibifu wa rasilimali misitu na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania