Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Zabuni zatafuna mabilioni ya fedha nchini

>Wakati matukio kadhaa ya ufisadi wa mamilioni ya fedha za umma yakiwa bado yanaendelea kujadiliwa nchini, imeelezwa kuwa Serikali hupoteza kiasi kikubwa cha fedha kwenye zabuni.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Rais ateua Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma, Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Bwana Kissiok Ole Mbille Lukumay kuwa Katibu Mtendaji wa Mamlaka ya Rufaa za Zabuni za Umma.

Aidha, Rais Kikwete amemteua Bwana Onesmo Hamis Makombe kuwa Kamishna wa Kitengo cha Kudhibiti Biashara ya Fedha Haramu.

Taarifa iliyotolewa Alhamisi, mjini Dar es Salaan na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi (KMK), Balozi Ombeni Sefue, inasema kuwa uteuzi wa maofisa hao wawili ulianza Ijumaa ya Machi 27, 2015.

Kabla ya uteuzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Manyara watenga bajeti ya mabilioni ya fedha

Mkoa wa Manyara kwa mwaka umekadiria kutumia Sh165.3 bilioni kwa ajili ya kutengeneza bajeti yake ya miaka ya 2014/15 na 2016/17.

 

10 years ago

Michuzi

PWANI WAINGIZA MABILIONI YA FEDHA KUPITIA MISITU

Na John Gagarini, BagamoyoMKOA wa Pwani umefanikiwa kukusanya kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni nane kupitia Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika kipindi cha mwaka 2013/2014.
Hayo yalisemwa juzi wilayani Bagamoyo na Ofisa Misitu wa mkoa huo Daniel Isara, wakati wa maadhimisho ya upandaji miti kimkoa iliyofanyika kwenye eneo la la Gareza la Kigongoni ambapo ilipandwa zaidi ya miti 3,000.
Isara alisema kuwa fedha hizo zimetokana na kukabiliana na uharibifu wa rasilimali misitu na...

 

9 years ago

Dewji Blog

BREAKING NEWS: Serikali yatoa tamko juu ya mabilioni ya fedha za miradi ya MCC

5a

Kamishna Mkuu wa bajeti kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi, Johnny Cheyo (Picha ya Maktaba).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Kufuatia suala la Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani kuonya juu ya hali ya kisiasa Zanzibar na matukio mengine yanayotokea hapa nchini huku ikielezwa kuwa inaweza kuathiri vigezo vya kuiwezesha Tanzania kupata msaada huo, Mapema leo Serikali ya Tanzania kupitia Wizara yake ya Fedha na Uchumi mbele ya waandishi wa habari, wamewatoa hofu watanzania...

 

11 years ago

Mwananchi

Mabilioni yapelekwa nchini India

Taarifa zilizopatikana kutoka wizarani zinaonyesha kuwa kati ya wagonjwa 150 na 200 husafirishwa na Serikali kwenda nchini India, ambako kuna uhakika wa matibabu, kila mwaka. Idadi hii haijumushi wale wanaolipiwa na ofisi zisizo za serikali au wanaojilipia wenyewe.

 

11 years ago

Mwananchi

Bidhaa za mabilioni zateketezwa nchini

Tume ya Ushindani Tanzania (TCC) imeteketeza bidhaa zenye thamani ya Sh4.2 bilioni ambazo ziliingizwa nchini zikiwa na upungufu na kukosa ubora.

 

9 years ago

Habarileo

Poland yatoa mabilioni kupaisha kilimo nchini

SERIKALI ya Poland imetoa mkopo wenye thamani ya Sh bilioni 220 kwa Tanzania utakaoinua kilimo nchini ambao sehemu ya fedha itatumika kujenga kiwanda cha trekta na nyingine kujenga maghala ya chakula nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Video 2 za Diamond zatafuna mil. 132/-

STAA wa muziki wa Bongo fleva, Naseeb Abdul ‘Diamond Platinumz’, amesema video zake za ‘Mdogo mdogo’ na ‘ Bum bum’ zimegharimu dola 78,000; zaidi ya shilingi milioni 132 za Tanzania....

 

10 years ago

Mwananchi

Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha

Timua timua ya makocha ndani ya Yanga imeibua ufisadi wa zaidi ya Sh3 bilioni ndani ya klabu hiyo huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani