Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BREAKING NEWS: Serikali yatoa tamko juu ya mabilioni ya fedha za miradi ya MCC

5a

Kamishna Mkuu wa bajeti kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi, Johnny Cheyo (Picha ya Maktaba).

Na Rabi Hume, Modewjiblog

[DAR ES SALAAM] Kufuatia suala la Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani kuonya juu ya hali ya kisiasa Zanzibar na matukio mengine yanayotokea hapa nchini huku ikielezwa kuwa inaweza kuathiri vigezo vya kuiwezesha Tanzania kupata msaada huo, Mapema leo Serikali ya Tanzania kupitia Wizara yake ya Fedha na Uchumi mbele ya waandishi wa habari, wamewatoa hofu watanzania...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

StarTV

CCM Kilimanjaro yatoa tamko juu ya mwenendo wa uchaguzi

Umoja wa vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Wilaya ya moshi Mjini, mkoani Kilimanjaro umeiomba  serikali kuweka sheria madhubuti zinazolenga kuthibiti wasimamizi wa uchaguzi ambao wanakiuka sheria na kanuni za Tume ya taifa ya uchaguzi NEC kwa kusababisha vurugu katika zoezi  la uhesabuji wa kura.

Kauli hiyo inakuja kufuatia kuwepo kwa malalamiko mengi ya wagombea wa kiti cha  ubunge na udiwani  katika baadhi ya majimbo mkoani humo kulalamikia  zoezi la uchaguzi kutokuwa  huru na...

 

10 years ago

GPL

WIZARA YATOA TAMKO JUU YA USAMBAZAJI WA KATIBA INAYOPENDEKEZWA

Kaimu Mkuu wa Kitengo cha Habari Elimu na Mawasiliano katika Wizara ya Katiba na Sheria, Farida Khalfan, akitoa tamko. Afisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria ,Martha Komba (katikati), akionyesha muundo wa katiba inayopendekezwa.  Kulia ni Ofisa Habari wa Wizara ya Katiba na Sheria, Said Benjamin. Khalfan na Komba wakiandika maswali…

 

10 years ago

Habarileo

BREAKING NEWS: Makubaliano juu ya mpango wa nyuklia wa Iran yafikiwa

Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Marekani wakisalimiana kabla ya kuanza kwa kikao cha mwisho kilichozaa matunda leo mjini Vienna nchini Austria.IRAN na mataifa sita yenye nguvu duniani wamefikia makubaliano muhimu leo mjini Vienna , kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuweza kuondolewa vikwazo ilivyoekewa na mataifa ya magharibi Makubaliano hayo yamekuja katika siku ya 18 za mbio katika mazungumzo kati ya Iran na kundi la mataifa matano lijulikanalo kama P5 +1, mataifa matano ambayo ni Marekani , Urussi , China , Uingereza, Ufaransa pamoja na Ujerumani , mjini Vienna.

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU MISAADA ILIYOKATALIWA

Na Magreth Kinabo –Maelezo
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Mpoki Ulisubisya amesema misaada inayotolewa na watu mbalimbali kwa ajili ya kusaidia jamii ni lazima iwe imekidhi viwango vya ubora, hivyo haitakiwi kuangaliwa kwa vigezo vya dini, itikadi wala siasa.  Kauli hiyo imetolewa leo na Katibu huyo wakati akizungumza na waandishi wa habari ofisi kwake baada kituo kimojwapo nchini kukataa misaada iliyotolewa na Mbunge wa Bukoba Mjini...

 

10 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: TCD YATOA TAMKO KUHUSU MCHAKATO WA KATIBA NA UCHAGUZI MKUU WA 2015

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Mhe. John Cheyo akitoa tamko kuhusu mchakato wa Katiba na Uchaguzi Mkuu wa 2015 leo 9 Septemba, 2014 katika Ukumbi wa Idara ya Habari Bungeni mjini Dodoma.Picha na Benedict Liwenga, Maelezo-Dodoma----------------------------VIONGOZI Wakuu wa Vyama vya siasa vyenye Wabunge vinavyounda Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) wamekuwa katika mashauriano ya zaidi ya mwezi mmoja tangu tarehe 2 Agosti mwaka huu huku wakishauriana juu ya mwenendo wa...

 

5 years ago

Global Publishers

Video: Serikali Yatoa Tamko Madereva Kutekwa DRC

w1

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mindi Kasiga akizungumza na wanahabari (hawapo pichani).

w2

Wanahabari wakifuatilia tamko hilo.
1 2

 

 

5 years ago

Michuzi

Asilimia 95 Misenyi ni Wahamiaji Haramu, Serikali ya Tanzania yatoa tamko


Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Mhandisi Hamad Masauni ameitaka idara ya uhamiaji na Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA),kuongeza nguvu kazi katika Wilaya ya Misenyi baada kugundulika uwepo wa wahamiaji haramu wengi wanaotishia hali ya ulinzi na usalama katika Mkoa wa Kagera unaopakana na nchi za Uganda na Rwanda.

 Ameyasema hayo baada ya kusikiliza taarifa ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya wilaya ya  Misenyi iliyosomwa na Mkuu wa Wilaya hiyo,Kanali Denis Mwila iliyoweka wazi ...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

BREAKING NEWS: Viongozi Wa Juu CCM Waandaa Mchezo Wakutumia Ugaidi Ili Waendelee Kututawala

Assaalmu alaikhum ndugu Watanzania Bara ( Tanganyika), Zanzibar na Viongozi wa UKAWA. Bila yakupoteza muda mwingi naanza kuingia kwenye Mada niliokusudia. Kama tunavojuwa kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unafaida kubwa ndani yake ikiwa tu Muungano […]

The post BREAKING NEWS: Viongozi Wa Juu CCM Waandaa Mchezo Wakutumia Ugaidi Ili Waendelee Kututawala appeared first on Mzalendo.net.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani