BREAKING NEWS: Viongozi Wa Juu CCM Waandaa Mchezo Wakutumia Ugaidi Ili Waendelee Kututawala
Assaalmu alaikhum ndugu Watanzania Bara ( Tanganyika), Zanzibar na Viongozi wa UKAWA. Bila yakupoteza muda mwingi naanza kuingia kwenye Mada niliokusudia. Kama tunavojuwa kwamba Muungano wa Tanganyika na Zanzibar unafaida kubwa ndani yake ikiwa tu Muungano […]
The post BREAKING NEWS: Viongozi Wa Juu CCM Waandaa Mchezo Wakutumia Ugaidi Ili Waendelee Kututawala appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo14 Jul
BREAKING NEWS: Makubaliano juu ya mpango wa nyuklia wa Iran yafikiwa
IRAN na mataifa sita yenye nguvu duniani wamefikia makubaliano muhimu leo mjini Vienna , kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran kuweza kuondolewa vikwazo ilivyoekewa na mataifa ya magharibi Makubaliano hayo yamekuja katika siku ya 18 za mbio katika mazungumzo kati ya Iran na kundi la mataifa matano lijulikanalo kama P5 +1, mataifa matano ambayo ni Marekani , Urussi , China , Uingereza, Ufaransa pamoja na Ujerumani , mjini Vienna.
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
BREAKING NEWS: Serikali yatoa tamko juu ya mabilioni ya fedha za miradi ya MCC
Kamishna Mkuu wa bajeti kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi, Johnny Cheyo (Picha ya Maktaba).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Kufuatia suala la Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani kuonya juu ya hali ya kisiasa Zanzibar na matukio mengine yanayotokea hapa nchini huku ikielezwa kuwa inaweza kuathiri vigezo vya kuiwezesha Tanzania kupata msaada huo, Mapema leo Serikali ya Tanzania kupitia Wizara yake ya Fedha na Uchumi mbele ya waandishi wa habari, wamewatoa hofu watanzania...
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Breaking News: Mwanasheria wa Prof. Anna Tibaijuka aiadabisha ‘Mahakama’ ya Maadili ya Viongozi wa Umma
Aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na kuvuliwa wadhifa huo kufuatia kashfa ya Escrow, Prof. Anna Tibaijuka.
*Awabana kwa vifungu vya sheria na kanuni zaidi ya masaa 3
Mwandishi Andrew Chale wa modewjiblog yupo kwenye eneo la tukio akiendelea kufuatilia kikaango hicho kilichovuta hisia za wengi…Endelea kufuatilia modewjiblog kwa picha na stori kamili zitawajia hivi punde.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Bp6VsFxYvcKesKc39udFpqb1CBy9T6saaCPfMFHrBPo0UotwxTB0jGL724Aqg1FyADtIhlaUlEgAPhcxkfThqq*-GOxJXbrQ/BREAKING.gif)
BREAKING NEWS: CCM YATANGAZA WAGOMBEA WATANO WA URAIS
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/dGSrT30M87c/default.jpg)
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Aug
Breaking News: Sumaye Ajivua CCM rasmi na kujiunga n UKAWA
Habari tulizozipata live kutoka kituo cha ITV ni kwamba Waziri wa zamani wa serikali ya Mkapa, ameamua rasmi kujitoa CCM baada ya kutotendewa haki na chama hicho. ” Sijiungi na upinzani kwa maslahi binafsi,sitaki cheo,sijachukua pesa, […]
The post Breaking News: Sumaye Ajivua CCM rasmi na kujiunga n UKAWA appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mzalendo Zanzibar22 Oct
BREAKING NEWS: CCM Kikao Cha SIRI Ngumi Zaanguka
Viongozi wa CCM walipotiana Makonde Ahmed Rajab Toleo la 428 21 Oct 2015 SINA dhamiri ya kutisha wala kuwatia watu hofu lakini kuna ile iitwayo “Kanuni” ya Murphy (Murphy’s Law) ambayo inanitisha. Kanuni hiyo, kwa hakika, […]
The post BREAKING NEWS: CCM Kikao Cha SIRI Ngumi Zaanguka appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Dewji Blog21 Aug
News On: Dkt. John Pombe Magufuli arudisha fomu, awaomba waendelee kumuombea
Dk Magufuli pichani, ambapo mapema majira ya saa tano ya leo Agosti 21.2015, amerejesha fomu za kugombea Urais katika tume ya uchaguzi NEC. (Picha ya Maktaba).
Na Andrew Chale, modewjiblog
(Ilala-Dar es Salaam) Waziri wa Ujenzi ambaye pia ni Mbunge wa Chato, Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli mapema leo Agosti 21, amerejesha fomu ya Kuomba kugombea nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi CCM katika tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC’, zilizopo Ilala,...
10 years ago
Habarileo04 Jul
Shirikisho Elimu ya Juu lawapa somo viongozi wa mikoa CCM
SHIRIKISHO la vyuo vya Elimu ya Juu Tanzania wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) limelaani baadhi ya viongozi wa mikoa wa chama hicho, kujitokeza hadharani kuwasaidia kwa kuwanadi baadhi ya watia nia ya kugombea urais huku wakiwaacha wengine na kusema kwamba jambo hilo lilikuwa si la busara.