Manyara watenga bajeti ya mabilioni ya fedha
Mkoa wa Manyara kwa mwaka umekadiria kutumia Sh165.3 bilioni kwa ajili ya kutengeneza bajeti yake ya miaka ya 2014/15 na 2016/17.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR, MHE. OMAR YUSSUF MZEE AWASILISHA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Zabuni zatafuna mabilioni ya fedha nchini
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-NyWKxri9z-E/VSjNRZnddcI/AAAAAAAHQRc/UNbjryyvIVQ/s72-c/unnamed%2B(85).jpg)
PWANI WAINGIZA MABILIONI YA FEDHA KUPITIA MISITU
Hayo yalisemwa juzi wilayani Bagamoyo na Ofisa Misitu wa mkoa huo Daniel Isara, wakati wa maadhimisho ya upandaji miti kimkoa iliyofanyika kwenye eneo la la Gareza la Kigongoni ambapo ilipandwa zaidi ya miti 3,000.
Isara alisema kuwa fedha hizo zimetokana na kukabiliana na uharibifu wa rasilimali misitu na...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA FEDHA ZANZIBAR ASOMA BAJETI YA FEDHA YA MWAKA KWA MWAKA 2015/16 LEO
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
BREAKING NEWS: Serikali yatoa tamko juu ya mabilioni ya fedha za miradi ya MCC
Kamishna Mkuu wa bajeti kutoka Wizara ya Fedha na Uchumi, Johnny Cheyo (Picha ya Maktaba).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
[DAR ES SALAAM] Kufuatia suala la Mfuko wa Changamoto za Milenia (MCC) wa Marekani kuonya juu ya hali ya kisiasa Zanzibar na matukio mengine yanayotokea hapa nchini huku ikielezwa kuwa inaweza kuathiri vigezo vya kuiwezesha Tanzania kupata msaada huo, Mapema leo Serikali ya Tanzania kupitia Wizara yake ya Fedha na Uchumi mbele ya waandishi wa habari, wamewatoa hofu watanzania...
11 years ago
Mwananchi17 Jun
Bajeti ya Wizara ya Fedha ni kufuru
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
BAJETI YA FEDHA TASLIMU: Makadirio yenye nakisi
BAJETI ya Tanzania imesomwa rasmi kwa mwaka wa fedha 2014/2015. Kusomwa kwake ni ishara kwamba mwaka wa fedha wa bajeti 2014/2015 utaanza rasmi tarehe mosi Julai, 2014. Suala la muhimu...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha
10 years ago
VijimamboHOTUBA YA BAJETI YA SERIKALI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/16
A. UTANGULIZI
1. Mheshimiwa Spika, kama ilivyo ada kwetu sisi waumini, naomba nianze kwa kumshukuru Mwenyenzi Mungu muumba wa mbingu na ardhi kwa kutujaalia neema ya uhai na afya zilizotuwezesha kukutana hapa. Baada ya kumshukuru Mwenyezi Mungu, naomba...