Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha
Timua timua ya makocha ndani ya Yanga imeibua ufisadi wa zaidi ya Sh3 bilioni ndani ya klabu hiyo huku uchunguzi zaidi ukiendelea kufanyika.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Timua timua ya Makocha: baada ya Mourinho, Van Gaal naye ajitabiria kutimuliwa!!
Van Gaal
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Baada ya taarifa kutoka siku ya Alhamisi kuwa klabu ya Chelsea imemfukuza kazi aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Jose Mourinho, kocha wa Manchester United amesema hilo ni jambo la kushtukiza zaidi kwake na anahisi na yeye litamtokea kama ilivyomtokea mwenzake.
Van Gaal alisema kuwa jambo hilo limekuwa la haraka na hali jinsi ilivyo katika kikosi chake ambacho katika michezo mitano imeyopita haijapata ushindi anahisi na yeye atafukuzwa kama Mourinho ambaye...
11 years ago
Tanzania Daima03 Feb
‘IGP timua askari Msimbazi’
BAADHI wakazi wa Jiji la Dar es Salaam wamemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Ernest Mangu, kufanya mabadiliko ya askari katika Kituo cha Polisi Msimbazi, kutokana na kuhusishwa katika tuhuma...
10 years ago
Habarileo06 Nov
Mbunge: Rais timua ma-DED wabadhirifu
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM) amemwomba Rais Jakaya Kikwete kuwafukuza kazi mara moja wakurugenzi wote wa halmashauri, ambao wamefuja fedha zilizopaswa kutolewa mikopo kwa vijana na wanawake kwa lengo la kuwakomboa kiuchumi.
9 years ago
StarTV01 Sep
Chacharito aondoka Man United,Unajua Timua aliyotimkia Soma hapa.
![](http://4.bp.blogspot.com/-R_ZrmQ5OKcs/VeSzuATnQVI/AAAAAAABnMQ/3sbrEMH2M2M/s640/2BDA60E300000578-3217039-Javier_Hernandez_poses_with_Bayer_Leverkusen_sporting_director_R-a-10_1441041129702.jpg)
10 years ago
Mwananchi30 Jan
PAC yaibua ufisadi mwingine
11 years ago
Habarileo04 Apr
Ziara ya Kinana yaibua ufisadi Kalambo
ZIARA ya Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wilayani Kalambo, imeibua mgogoro wa mgawo wa fedha za chama hicho za wilaya, uliokuwa unafukuta. Kutokana na hali hiyo, ameamuru uchunguzi ufanyike haraka.
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mawaziri wa JK wanaswa ufisadi wa mabilioni
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Wahojiwa kwa ufisadi wa mabilioni Mbeya
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Magufuli asaka vinara ufisadi wa mabilioni
*Awataka waliohusika na kashfa ya Sh trilioni 1.3 watoe ushirikiano
* aliyekuwa bosi TRA, Harry Kitilya, mtoto wa Waziri wahusushwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Mahakama ya London, Uingereza kubaini ufisadi wa Sh trilioni 1.3, zilizotokana na mkopo uliotolewa na benki ya Standard ya Uingereza kwa Serikali ya Tanzania, Ikulu imeanza kusaka watu waliosababisha hasara hiyo.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,...