Wahojiwa kwa ufisadi wa mabilioni Mbeya
Mradi wa Maji Masoko Pipe Water Supply uliokwama kwa ufisadi wakati ukitekelezwa Halmashauri ya Wilaya ya Rungwe, sasa umekuwa kaa wa moto baada ya waliokuwa viongozi wa halmashauri hiyo kuhojiwa kuhusiana na ufisadi wa mabilioni ya shilingi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mawaziri wa JK wanaswa ufisadi wa mabilioni
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Magufuli asaka vinara ufisadi wa mabilioni
*Awataka waliohusika na kashfa ya Sh trilioni 1.3 watoe ushirikiano
* aliyekuwa bosi TRA, Harry Kitilya, mtoto wa Waziri wahusushwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Mahakama ya London, Uingereza kubaini ufisadi wa Sh trilioni 1.3, zilizotokana na mkopo uliotolewa na benki ya Standard ya Uingereza kwa Serikali ya Tanzania, Ikulu imeanza kusaka watu waliosababisha hasara hiyo.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,...
10 years ago
Mwananchi20 Aug
Magari ya Chadema yazua utata Mbeya, viongozi wahojiwa
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha
11 years ago
Mwananchi04 Feb
Watu 10 wahojiwa kwa mauaji Tarime
5 years ago
Michuzi
MAWAKILI WATARAJIWA WAHOJIWA KWA MTANDAO


9 years ago
Habarileo05 Nov
Wahojiwa kwa kuhamasisha maandamano batili
JESHI la Polisi mkoani Rukwa limewashikilia kwa mahojiano Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani humo, Zeno Nkoswe, viongozi wengine wawili wa chama hicho, pamoja na wanachama watano kwa kuhamasisha maandamano yaliyokatazwa.
11 years ago
Bongo522 Oct
Picha: Diamond na dancers wake wahojiwa kwa masaa polisi, Oyster Bay
11 years ago
BBCSwahili07 Aug
Ahadi ya mabilioni ya dola kwa Afrika