Magufuli asaka vinara ufisadi wa mabilioni
*Awataka waliohusika na kashfa ya Sh trilioni 1.3 watoe ushirikiano
* aliyekuwa bosi TRA, Harry Kitilya, mtoto wa Waziri wahusushwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Mahakama ya London, Uingereza kubaini ufisadi wa Sh trilioni 1.3, zilizotokana na mkopo uliotolewa na benki ya Standard ya Uingereza kwa Serikali ya Tanzania, Ikulu imeanza kusaka watu waliosababisha hasara hiyo.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi03 Dec
Mawaziri wa JK wanaswa ufisadi wa mabilioni
11 years ago
Mwananchi22 Apr
Wahojiwa kwa ufisadi wa mabilioni Mbeya
9 years ago
Mtanzania21 Oct
Magufuli asaka kura Dar
– Kutumia siku tatu ndani ya majimbo 9
NA BAKARI KIMWANGA, GEITA
MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, leo ataanza mikutano ya kampeni jijini Dar es Salaam.
Dk. Magufuli atawasili jijini humo baada ya kukamilisha mikutano ya kampeni ya kuomba kuchaguliwa katika nafasi hiyo kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa.
Akiwa jijini Dar es Salaam, atafanya mikutano katika majimbo yote ambayo alikuwa hajahutubia, huku akiwanadi
wagombea ubunge wa majimbo hayo.
Kwa mujibu wa ratiba...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Timua timua Yanga yaibua ufisadi wa mabilioni ya fedha
9 years ago
Mzalendo Zanzibar06 Oct
Magufuli Akichaguliwa Ufisadi Na Umasikini Vitaongezeka
John Magufuli Tuesday, October 6, 2015 Na Ananilea Nkya Mwandishi wa makala hii ni Ananilea Nkya ambaye ni Mkurugenzi Mstaafu wa TAMWA. ****** Watu wanaokampeni kushawishi Watanzania wamchague John Magufuli kuwa Rais wa tano wa Tanzania […]
The post Magufuli Akichaguliwa Ufisadi Na Umasikini Vitaongezeka appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Nchemba: Dk Magufuli hana kashfa ya ufisadi
9 years ago
StarTV01 Sep
Magufuli awaonya maafisa wanaoendeleza ufisadi
Wakati akampeni za kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika octoba 25 mwaka huu Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ametoa onyo kali kwa maafisa walio katika taasisi za serikali na halmashauri mbalimbali nchini wanaoendeleza na kufumbia,macho maswala ya,Rushwa na vitendo vya ufisadi na kuwa kikwa kwa maendeleo.
Magufuli ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM ambaye pia ni waziri wa Ujenzi ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia...
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Magufuli na ufisadi, waasisi wakionea aibu
“SIMMONILE ndiye mtawala mkuu (paramount chief) wa jamii ya kabila la Wanyakyusa, katika kizazi c
Felix Mwakyembe
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Magufuli: Nipeni kazi nizibe mirija ya ufisadi