Magufuli awaonya maafisa wanaoendeleza ufisadi
Wakati akampeni za kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika octoba 25 mwaka huu Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ametoa onyo kali kwa maafisa walio katika taasisi za serikali na halmashauri mbalimbali nchini wanaoendeleza na kufumbia,macho maswala ya,Rushwa na vitendo vya ufisadi na kuwa kikwa kwa maendeleo.
Magufuli ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM ambaye pia ni waziri wa Ujenzi ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia...
StarTV
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-cIXKga15kYA/Xl1mL5t_rJI/AAAAAAALgec/rohC79rmR6YNml2BDS_llHBsB3Sy8uy5QCLcBGAsYHQ/s72-c/DSC_3612-768x513.jpg)
RC WANGABO AWAONYA WAKURUGENZI WANAOENDELEZA UDUMAVU KWA WATOTO RUKWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-cIXKga15kYA/Xl1mL5t_rJI/AAAAAAALgec/rohC79rmR6YNml2BDS_llHBsB3Sy8uy5QCLcBGAsYHQ/s640/DSC_3612-768x513.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo akiwaonesha wajumbe wa Kamati ya Lishe ya Mkoa pamoja na Halmashauri Kadi maalumu inyofafanua Tathmini ya utekelezaji wa Afua za lishe (score card) katika Mkoa wa Rukwa
……………….
Mwenyekiti wa kamati ya lishe ya mkoa ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Rukwa Mh. Joachim Wangabo amewataka wajumbe wa kamati hiyo kuandaa zawadi kwaajili ya Mkurugenzi wa halmashauri anaefanya vizuri na anayefanya vibaya katika kutenga shilingi 1,000 kwaajili ya kila mtoto wa...
10 years ago
BBCSwahili23 Jun
Buhari awaonya viongozi dhidi ya ufisadi
9 years ago
BBCSwahili04 Dec
Maafisa 16 wa FIFA kizimbani kwa ufisadi
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Magufuli asaka vinara ufisadi wa mabilioni
*Awataka waliohusika na kashfa ya Sh trilioni 1.3 watoe ushirikiano
* aliyekuwa bosi TRA, Harry Kitilya, mtoto wa Waziri wahusushwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Mahakama ya London, Uingereza kubaini ufisadi wa Sh trilioni 1.3, zilizotokana na mkopo uliotolewa na benki ya Standard ya Uingereza kwa Serikali ya Tanzania, Ikulu imeanza kusaka watu waliosababisha hasara hiyo.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,...
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Nchemba: Dk Magufuli hana kashfa ya ufisadi
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Magufuli na ufisadi, waasisi wakionea aibu
“SIMMONILE ndiye mtawala mkuu (paramount chief) wa jamii ya kabila la Wanyakyusa, katika kizazi c
Felix Mwakyembe
9 years ago
Mzalendo Zanzibar06 Oct
Magufuli Akichaguliwa Ufisadi Na Umasikini Vitaongezeka
John Magufuli Tuesday, October 6, 2015 Na Ananilea Nkya Mwandishi wa makala hii ni Ananilea Nkya ambaye ni Mkurugenzi Mstaafu wa TAMWA. ****** Watu wanaokampeni kushawishi Watanzania wamchague John Magufuli kuwa Rais wa tano wa Tanzania […]
The post Magufuli Akichaguliwa Ufisadi Na Umasikini Vitaongezeka appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi14 Dec
11 years ago
Mwananchi08 Jul
UFISADI: Magufuli awajia juu maofisa Tanroads