Magufuli Akichaguliwa Ufisadi Na Umasikini Vitaongezeka
John Magufuli Tuesday, October 6, 2015 Na Ananilea Nkya Mwandishi wa makala hii ni Ananilea Nkya ambaye ni Mkurugenzi Mstaafu wa TAMWA. ****** Watu wanaokampeni kushawishi Watanzania wamchague John Magufuli kuwa Rais wa tano wa Tanzania […]
The post Magufuli Akichaguliwa Ufisadi Na Umasikini Vitaongezeka appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/S3fB1lsSZak/default.jpg)
MAGUFULI KAMA AKICHAGULIWA KUPAMBANA NA MAFISADI NDANI YA CCM
Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. John Magufuli, amesema mafisadi wamo hadi ndani ya chama chake na ndiyo maana baada ya kuteuliwa kuwa mgombea urais wengi wao wameanza kuweweseka kutokana na hofu kubwa waliyo nayo dhidi yake.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika mikutano ya kampeni ya chama chake mjini Kisarawe, Pwani na baadaye Ukonga, jijini Dar es Salaam jana, Magufuli alikiri kuwa chama chake kiliwalea walarushwa na mafisadi kwa muda mrefu na ndiyo maana baadhi ya watu...
9 years ago
StarTV01 Sep
Magufuli awaonya maafisa wanaoendeleza ufisadi
Wakati akampeni za kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika octoba 25 mwaka huu Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ametoa onyo kali kwa maafisa walio katika taasisi za serikali na halmashauri mbalimbali nchini wanaoendeleza na kufumbia,macho maswala ya,Rushwa na vitendo vya ufisadi na kuwa kikwa kwa maendeleo.
Magufuli ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM ambaye pia ni waziri wa Ujenzi ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia...
9 years ago
Raia Mwema02 Sep
Magufuli na ufisadi, waasisi wakionea aibu
“SIMMONILE ndiye mtawala mkuu (paramount chief) wa jamii ya kabila la Wanyakyusa, katika kizazi c
Felix Mwakyembe
9 years ago
Mwananchi08 Sep
Nchemba: Dk Magufuli hana kashfa ya ufisadi
9 years ago
Mtanzania02 Dec
Magufuli asaka vinara ufisadi wa mabilioni
*Awataka waliohusika na kashfa ya Sh trilioni 1.3 watoe ushirikiano
* aliyekuwa bosi TRA, Harry Kitilya, mtoto wa Waziri wahusushwa
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU moja baada ya Mahakama ya London, Uingereza kubaini ufisadi wa Sh trilioni 1.3, zilizotokana na mkopo uliotolewa na benki ya Standard ya Uingereza kwa Serikali ya Tanzania, Ikulu imeanza kusaka watu waliosababisha hasara hiyo.
Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana,...
9 years ago
Mwananchi07 Oct
Magufuli: Nipeni kazi nizibe mirija ya ufisadi
9 years ago
Mwananchi14 Dec
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Hebu tudurusu ‘Ufisadi’ wa Lowassa na ‘Usafi’ wa Magufuli
NITAANZA makala yangu ya wiki hii kwa kurejea swali nililoliuliza mwishoni mwa ile ya wiki iliyop
Jenerali Ulimwengu
11 years ago
Mwananchi08 Jul
UFISADI: Magufuli awajia juu maofisa Tanroads