Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nchemba: Dk Magufuli hana kashfa ya ufisadi

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema mgombea urais kupitia CCM, Dk John Magufuli hawezi kufananishwa na mgombea yeyote kwa rekodi ya utendaji na uadilifu wake kazini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Wabunge- Majaliwa hana kashfa

BAADA ya wabunge kuthibitisha jina la Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (55) aliyeteuliwa na Rais John Magufuli jana, wabunge wameelezea kufurahishwa na uteuzi huo na kusema anastahili kwa kuwa hana kashfa za kimaadili.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa ufisadi CCM

SHULE za Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimekumbwa na taharuki baada ya bodi yake ya wadhamini kuwalazimisha wakuu wa shule hizo kulipa ada ya sh milioni 2.5...

 

11 years ago

Mwananchi

Kashfa nzito ya ufisadi Moshi

Inawezekana ikawa ni moja ya matumizi mabaya ya fedha za umma baada ya kubainika majengo mawili mapya ya ghorofa yaliyojengwa na Serikali ni hatari kwa usalama wa watumiaji.

 

10 years ago

Mwananchi

JK akana kuyumbishwa na kashfa za ufisadi

>Rais Jakaya Kikwete amesema haoni tatizo kwa vyombo vya habari kuandika kashfa zinazoibua mijadala kwenye jamii kwa kuwa yanasaidia uongozi kujirekebisha, lakini akaonya kuwa vyombo hivyo  vikitumia uhuru wao kuchochea chuki, vurugu na mifarakano, Serikali haitavumilia.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunataka Rais jasiri atakayefufua kashfa za ufisadi huu

RUSHWA na ufisadi ni mambo ambayo yametangaziwa vita na kila awamu ya serikali inayoingia madarak

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Africanjam.Com

RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI



Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
Lakini alisema kuwa mamlaka yake hayaungwi mkono na kila mtu. Shirikisho la FIFA lilikumbwa na mgogoro wa kukamatwa kwa maafisa wake...

 

5 years ago

CCM Blog

BABA WA UZAO: RAIS DK. MAGUFULI HANA HISTORIA YA KUSHINDWA KATIKA UTENDAJI WAKE

TEGETA, Dar es Salaam
Kanisa Halisi la Mungu Baba lililopo Tegeta jijini Dar es Salaam, limesema, Rais Dk. John Magufuli, hana historia ya kushindwa katika utendaji wake kwa kuwa amebarikiwa na Mungu Baba, hivyo kila atakayemwinua na kumuombea mema kama lilivyofanya kanisa hilo atapata baraka tena za halali kabisa.

Hayo yamesemwa jana na Kiongozi wa Kanisa hilo anayejulikana  kwa jina la Baba wa Uzao, wakati wa kuhitimisha ibada ya siku tisa ya kumuomba Mungu amfiche Rais Dk. Magufuli waovu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Magufuli na ufisadi, waasisi wakionea aibu

“SIMMONILE ndiye mtawala mkuu (paramount chief) wa jamii ya kabila la Wanyakyusa, katika kizazi c

Felix Mwakyembe

 

9 years ago

StarTV

Magufuli awaonya maafisa wanaoendeleza ufisadi

Wakati akampeni za kuelekea uchaguzi mkuu ambao unatarajiwa kufanyika octoba 25 mwaka huu  Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi John Pombe Magufuli ametoa onyo kali kwa maafisa walio katika taasisi za serikali  na halmashauri mbalimbali nchini wanaoendeleza na kufumbia,macho maswala ya,Rushwa na vitendo vya ufisadi na kuwa kikwa kwa maendeleo.

Magufuli ambaye ni mgombea Urais kwa tiketi ya chama cha mapinduzi CCM ambaye pia ni waziri wa Ujenzi  ametoa kauli hiyo wakati akiwahutubia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani