Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kashfa ufisadi CCM

SHULE za Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimekumbwa na taharuki baada ya bodi yake ya wadhamini kuwalazimisha wakuu wa shule hizo kulipa ada ya sh milioni 2.5...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kashfa nzito ya ufisadi Moshi

Inawezekana ikawa ni moja ya matumizi mabaya ya fedha za umma baada ya kubainika majengo mawili mapya ya ghorofa yaliyojengwa na Serikali ni hatari kwa usalama wa watumiaji.

 

10 years ago

Mwananchi

JK akana kuyumbishwa na kashfa za ufisadi

>Rais Jakaya Kikwete amesema haoni tatizo kwa vyombo vya habari kuandika kashfa zinazoibua mijadala kwenye jamii kwa kuwa yanasaidia uongozi kujirekebisha, lakini akaonya kuwa vyombo hivyo  vikitumia uhuru wao kuchochea chuki, vurugu na mifarakano, Serikali haitavumilia.

 

9 years ago

Mwananchi

Nchemba: Dk Magufuli hana kashfa ya ufisadi

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba amesema mgombea urais kupitia CCM, Dk John Magufuli hawezi kufananishwa na mgombea yeyote kwa rekodi ya utendaji na uadilifu wake kazini.

 

9 years ago

Raia Mwema

Tunataka Rais jasiri atakayefufua kashfa za ufisadi huu

RUSHWA na ufisadi ni mambo ambayo yametangaziwa vita na kila awamu ya serikali inayoingia madarak

Joseph Mihangwa

 

10 years ago

Africanjam.Com

RAISI WA FIFA SEPP BLATTER AJIUZULU KUFUATIA KASHFA YA UFISADI



Rais wa shirikisho la soka duniani FIFA Sepp Blatter amejiuzulu kama rais wa shirikisho hilo kufuatia kashfa ya ufisadi.Akitangaza kujiuzulu,kwake Sepp Blatter mwenye umri wa miaka 79 ameitisha kikao cha dharura mara moja ili kumchagua rais mpya.Blatter alichaguliwa tena wiki iliopita licha ya maafisa wake saba wakuu kukamatwa siku mbili kabla ya uchaguzi .
Lakini alisema kuwa mamlaka yake hayaungwi mkono na kila mtu. Shirikisho la FIFA lilikumbwa na mgogoro wa kukamatwa kwa maafisa wake...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwenyekiti CCM apata kashfa

>Mwenyekiti mmoja wa CCM wilayani Uyui, (jina linahifadhiwa) anatuhumiwa kumlawiti kijana mmoja nyumbani kwake maeneo ya Bachu baada ya kumlewesha pombe.

 

10 years ago

Mwananchi

CCM ina kashfa ya escrow tu, asema Msekwa

Makamu mwenyekiti mstaafu wa CCM, Pius Msekwa amesema kashfa ya uchotwaji fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow imekijengea chama hicho chuki kwa wananchi na hivyo kinahitaji mgombea anayekubalika ili kishinde kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

10 years ago

Mtanzania

Ufisadi CCM, Chadema

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ameibua ufujaji wa mabilioni ya fedha kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Katika ripoti ya ukaguzi wa CAG kwa vyama hivyo aliyoikamilisha Septemba mwaka jana kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa namba tano ya mwaka 1992, sehemu ya 14 (1)(b) imeibua madudu hayo.
Taarifa hiyo ya CAG ambayo MTANZANIA imeiona, imechambua hesabu za Chadema na CCM na kusema wakati wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ufisadi ndio utakuwa kaburi la CCM

KAMA Kionambali angekuwa mshauri wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi,   basi angemshauri wasihangaike kutuma viongozi wao kuzunguka nchi kwenda kuangua kilio mbele ya wananchi huko waliko vijijini. Kwa lugha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani