Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi ndio utakuwa kaburi la CCM

KAMA Kionambali angekuwa mshauri wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi,   basi angemshauri wasihangaike kutuma viongozi wao kuzunguka nchi kwenda kuangua kilio mbele ya wananchi huko waliko vijijini. Kwa lugha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kimaro: Kura za maoni kaburi la CCM 2015

Aliyewahi kuwa mbunge wa Vunjo, Aloyce Kimaro amesema utaratibu wa kura za maoni ndani ya CCM, unaweza kuwa kaburi la chama hicho tawala katika uchaguzi mkuu ujao.

 

10 years ago

Mtanzania

Ufisadi CCM, Chadema

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ameibua ufujaji wa mabilioni ya fedha kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Katika ripoti ya ukaguzi wa CAG kwa vyama hivyo aliyoikamilisha Septemba mwaka jana kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa namba tano ya mwaka 1992, sehemu ya 14 (1)(b) imeibua madudu hayo.
Taarifa hiyo ya CAG ambayo MTANZANIA imeiona, imechambua hesabu za Chadema na CCM na kusema wakati wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa ufisadi CCM

SHULE za Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimekumbwa na taharuki baada ya bodi yake ya wadhamini kuwalazimisha wakuu wa shule hizo kulipa ada ya sh milioni 2.5...

 

9 years ago

Mwananchi

Hoja ya ufisadi yawagawa Ukawa, CCM

Tangu kuzinduliwa kwa kampeni, hoja ya ufisadi imeonekana kuvigawa vyama vikuu vinavyopambana kwa karibu huku mgombea wa urais wa CCM, Dk John Magufuli akiitumia kama kete muhimu ya kumpatia ushindi na kuwapunguza makali wapinzani wake.

 

9 years ago

Habarileo

'Mapambano ya ufisadi yanaipa heshima CCM'

MBUNGE wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani (CCM), amesema juhudi za Rais Dk John Magufuli za kudhibiti wakwepa kodi zinakipa heshima kubwa chama chao katika mapambano dhidi ya ufisadi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

PROPAGANDA YA KATIBA MPYA: Ufisadi wa CCM

HAPO mwanzo, wakati Tanganyika inapata uhuru kulikuwapo na chama cha ukombozi wa Waafrika wa Tanganyika (TANU) ambacho kiliweza kuwaunganisha wananchi! Baadaye, TANU iliungana na ASP kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

9 years ago

Raia Mwema

Nani adui wa CCM, Chadema au ufisadi?

HALI ya kisiasa nchini (kwa wakati huo makala hii ilipochapwa kwa mara ya kwanza – Desemba, 2012)

Msomaji Raia

 

10 years ago

Michuzi

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AZURU KABURI LA HAYATI DKT.OMARI ALI JUMA KISIWANI PEMBA LEO.


 Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana akiwa na baadhi ya viongozi wengine wa chama na Serikali wakiomba dua walipozuru kaburi la aliyekuwa Makamu wa Rais,Hayati Dkt.Omari Ali Juma eneo la Wawi Digilini,Wilaya ya Chakechake Pemba.PICHA NA MICHUZI JR-CHAKECHAKE-PEMBA.

 

11 years ago

Tanzania Daima

UFISADI WA BIL. 200/-BoT: CCM kung’oka kama KANU

KASHFA nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bil. 200) inayowakabili vigogo sita wa serikali, huenda ikaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama ilivyotokea kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani