Ufisadi ndio utakuwa kaburi la CCM
KAMA Kionambali angekuwa mshauri wa Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi, basi angemshauri wasihangaike kutuma viongozi wao kuzunguka nchi kwenda kuangua kilio mbele ya wananchi huko waliko vijijini. Kwa lugha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi05 Nov
Kimaro: Kura za maoni kaburi la CCM 2015
10 years ago
Mtanzania18 Mar
Ufisadi CCM, Chadema
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), ameibua ufujaji wa mabilioni ya fedha kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Katika ripoti ya ukaguzi wa CAG kwa vyama hivyo aliyoikamilisha Septemba mwaka jana kwa mujibu wa sheria ya vyama vya siasa namba tano ya mwaka 1992, sehemu ya 14 (1)(b) imeibua madudu hayo.
Taarifa hiyo ya CAG ambayo MTANZANIA imeiona, imechambua hesabu za Chadema na CCM na kusema wakati wa...
11 years ago
Tanzania Daima11 Feb
Kashfa ufisadi CCM
SHULE za Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), zimekumbwa na taharuki baada ya bodi yake ya wadhamini kuwalazimisha wakuu wa shule hizo kulipa ada ya sh milioni 2.5...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Hoja ya ufisadi yawagawa Ukawa, CCM
9 years ago
Habarileo10 Dec
'Mapambano ya ufisadi yanaipa heshima CCM'
MBUNGE wa Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani (CCM), amesema juhudi za Rais Dk John Magufuli za kudhibiti wakwepa kodi zinakipa heshima kubwa chama chao katika mapambano dhidi ya ufisadi.
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
PROPAGANDA YA KATIBA MPYA: Ufisadi wa CCM
HAPO mwanzo, wakati Tanganyika inapata uhuru kulikuwapo na chama cha ukombozi wa Waafrika wa Tanganyika (TANU) ambacho kiliweza kuwaunganisha wananchi! Baadaye, TANU iliungana na ASP kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
9 years ago
Raia Mwema02 Dec
Nani adui wa CCM, Chadema au ufisadi?
HALI ya kisiasa nchini (kwa wakati huo makala hii ilipochapwa kwa mara ya kwanza – Desemba, 2012)
Msomaji Raia
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8n-IR4ZrU1w/VMpyvg4kKNI/AAAAAAACy-0/JSbOjnX9Fmk/s72-c/2.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AZURU KABURI LA HAYATI DKT.OMARI ALI JUMA KISIWANI PEMBA LEO.
![](http://1.bp.blogspot.com/-8n-IR4ZrU1w/VMpyvg4kKNI/AAAAAAACy-0/JSbOjnX9Fmk/s1600/2.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima14 May
UFISADI WA BIL. 200/-BoT: CCM kung’oka kama KANU
KASHFA nzito ya ufisadi wa dola za Marekani milioni 122 (sawa na sh bil. 200) inayowakabili vigogo sita wa serikali, huenda ikaking’oa madarakani Chama Cha Mapinduzi (CCM) kama ilivyotokea kwa...