PROPAGANDA YA KATIBA MPYA: Ufisadi wa CCM
HAPO mwanzo, wakati Tanganyika inapata uhuru kulikuwapo na chama cha ukombozi wa Waafrika wa Tanganyika (TANU) ambacho kiliweza kuwaunganisha wananchi! Baadaye, TANU iliungana na ASP kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania11 Feb
Ufisadi Katiba Mpya
Na Fredy Azzah, Dar es Salaam
MCHAKATO wa kupata Katiba Mpya ya nchi unadaiwa kugubikwa na wingu la ufisadi hali iliyosababisha Mamlaka ya Udhibiti wa Manunuzi ya Umma (PPRA) kuhoji tenda ya uchapwaji wa nakala milioni mbili za Katiba Inayopendekezwa kwa gharama ya Sh bilioni 6.
Hatua hiyo inakuja huku Watanzania wakiwa wanasubiri kupiga kura ya maoni inayotarajiwa kufanyika Aprili 30, mwaka huu, ambapo inaelezwa taratibu za manunuzi zilikiukwa kwa baadhi ya kampuni zilizopewa kazi hiyo kuwa...
11 years ago
Mwananchi22 Jun
Katiba Mpya na mwarobaini wa ufisadi
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
‘Epukeni propaganda za CCM’
MKURUGENZI wa Sera na Utafiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mwitara Waitara amewataka wananchi kujihadhari na propaganda zinazofanywa na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuhusu mchakato wa Katiba mpya....
11 years ago
Tanzania Daima11 May
CCM yakataa katiba mpya
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi msimamo wake, kikisema kuwa hakina mpango na katiba mpya, na kwamba jambo muhimu kwao ni kuangalia matatizo ya wananchi. Msimamo huo ulitolewa na Katibu...
11 years ago
Mwananchi09 Aug
Wabunge CCM wameguka Katiba Mpya
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Katiba mpya yaanza kumomonyoa CCM
SIKU moja baada mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA), kutangaza kuandamana kupinga kuendelea kwa bunge maalumu la katiba, Diwani Ally Nkhangaa wa Kata ya Mtunduru (CCM), ametangaza...
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
CCM wacheza shere Katiba mpya
VUGUVUGU la kutaka Bunge Maalum la Katiba lisitishe shughuli zake, limezidi kushamiri baada ya baadhi ya wajumbe kuanza maandalizi ya kuandika barua kwa Rais Jakaya Kikwete, wakimwomba alisitishe kwa madai...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jul
CCM iache undumilakuwili Katiba mpya
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) ndicho kinaongoza Serikali, hivyo hakina budi kuwa na msimamo unaoeleweka bayana kuhusu mchakato wa Katiba mpya badala ya kuruhusu utaratibu huu wa sasa wa kila kiongozi...
11 years ago
Tanzania Daima13 Apr
Wasomi waionya CCM kuhusu Katiba mpya
WASOMI na wafuatiliaji wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya wamekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuheshimu maoni ya wananchi yaliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba. Wananchi hao wamefikia hatua...