Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM wacheza shere Katiba mpya

VUGUVUGU la kutaka Bunge Maalum la Katiba lisitishe shughuli zake, limezidi kushamiri baada ya baadhi ya wajumbe kuanza maandalizi ya kuandika barua kwa Rais Jakaya Kikwete, wakimwomba alisitishe kwa madai...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yacheza shere rasimu ya katiba

SHERE ni ujanja anaofanyiwa mtu bila ya yeye kutambua. Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta ameteua watu 27 miongoni mwa wabunge kadhaa kuunda Kamati ya Mashauriano ili kukabiliana...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wacheza dili wa ndege ‘mpya’ ATCL hawa hapa

VIGOGO wa Shirika la Ndege Tanzania (ATCL), waliofanya dili la kukodisha ndege chakavu aina ya CRJ 200 na kutangaza kwamba wameinunua, wamebainika. Vigogo hao wamebainika katika mwendelezo wa uchunguzi uliofanywa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yakataa katiba mpya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi msimamo wake, kikisema kuwa hakina mpango na katiba mpya, na kwamba jambo muhimu kwao ni kuangalia matatizo ya wananchi. Msimamo huo ulitolewa na Katibu...

 

11 years ago

Tanzania Daima

PROPAGANDA YA KATIBA MPYA: Ufisadi wa CCM

HAPO mwanzo, wakati Tanganyika inapata uhuru kulikuwapo na chama cha ukombozi wa Waafrika wa Tanganyika (TANU) ambacho kiliweza kuwaunganisha wananchi! Baadaye, TANU iliungana na ASP kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya yaanza kumomonyoa CCM

SIKU moja baada mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA), kutangaza kuandamana kupinga kuendelea kwa bunge maalumu la katiba, Diwani Ally Nkhangaa wa Kata ya Mtunduru (CCM), ametangaza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM iache undumilakuwili Katiba mpya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) ndicho kinaongoza Serikali, hivyo hakina budi kuwa na msimamo unaoeleweka bayana kuhusu mchakato wa Katiba mpya badala ya kuruhusu utaratibu huu wa sasa wa kila kiongozi...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM wameguka Katiba Mpya

>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kumeguka baada ya baadhi ya wabunge wake ambao ni Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuunga mkono kauli ya Naibu Katibu Mkuu wake, Mwigulu Nchemba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi waionya CCM kuhusu Katiba mpya

WASOMI na wafuatiliaji wa mchakato wa kupatikana kwa Katiba mpya wamekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuheshimu maoni ya wananchi yaliyotolewa na Tume ya  Mabadiliko ya Katiba. Wananchi hao wamefikia hatua...

 

11 years ago

Mwananchi

Chadema waitaka CCM isikwamishe Katiba Mpya

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amekitaka Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake kuacha kile alichokielezea kuwa ni hila ya kutaka kukwamisha mchakato wa Katiba Mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani