Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM iache undumilakuwili Katiba mpya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) ndicho kinaongoza Serikali, hivyo hakina budi kuwa na msimamo unaoeleweka bayana kuhusu mchakato wa Katiba mpya badala ya kuruhusu utaratibu huu wa sasa wa kila kiongozi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Mwaka Mpya Serikali ya CCM iache woga kwa wapinzani

Awali ya yote napenda kuwatakia heri na Baraka za Mwenyezi Mungu kwa wasomaji wangu wote na wananchi kwa ujumla “ Heri ya Mwaka Mpya na Baraka tele kwenu nyote.”

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM iache tabia ya kinyonga

KILA siku katika maisha yangu nimekuwa nikijifunza mbinu mpya za watu wa Zanzibar za kupeleka ujumbe, kufurahia au kukejeli jambo. Hivi karibuni nilipigwa butwaa nilipokuwa katika eneo la Darajani mjini...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM Zanzibar iache kujigeuza popo

KAULI za baadhi ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wanaotoka CCM zinanishangaza kwa vile huwa zinabadilika kama lilivyo umbile la popo, leo ndege (anaruka) na kesho mnyama (anazaa). Kwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM yakataa katiba mpya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeweka wazi msimamo wake, kikisema kuwa hakina mpango na katiba mpya, na kwamba jambo muhimu kwao ni kuangalia matatizo ya wananchi. Msimamo huo ulitolewa na Katibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge CCM wameguka Katiba Mpya

>Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kumeguka baada ya baadhi ya wabunge wake ambao ni Wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, kuunga mkono kauli ya Naibu Katibu Mkuu wake, Mwigulu Nchemba.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Katiba mpya yaanza kumomonyoa CCM

SIKU moja baada mkutano mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendelo (CHADEMA), kutangaza kuandamana kupinga kuendelea kwa bunge maalumu la katiba, Diwani Ally Nkhangaa wa Kata ya Mtunduru (CCM), ametangaza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM wacheza shere Katiba mpya

VUGUVUGU la kutaka Bunge Maalum la Katiba lisitishe shughuli zake, limezidi kushamiri baada ya baadhi ya wajumbe kuanza maandalizi ya kuandika barua kwa Rais Jakaya Kikwete, wakimwomba alisitishe kwa madai...

 

11 years ago

Tanzania Daima

PROPAGANDA YA KATIBA MPYA: Ufisadi wa CCM

HAPO mwanzo, wakati Tanganyika inapata uhuru kulikuwapo na chama cha ukombozi wa Waafrika wa Tanganyika (TANU) ambacho kiliweza kuwaunganisha wananchi! Baadaye, TANU iliungana na ASP kuunda Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

11 years ago

Mwananchi

Ukawa: CCM haiwezi kuleta Katiba Mpya

Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) nje ya Bunge umesema hatima ya kupata Katiba Mpya utaamuliwa na wananchi na wala siyo chama tawala.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani