Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM iache tabia ya kinyonga

KILA siku katika maisha yangu nimekuwa nikijifunza mbinu mpya za watu wa Zanzibar za kupeleka ujumbe, kufurahia au kukejeli jambo. Hivi karibuni nilipigwa butwaa nilipokuwa katika eneo la Darajani mjini...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM kama popo au kinyonga

KAULI za baadhi ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wanaotoka CCM zinanishangaza kutokana na kubadilika kama lilivyo umbile la popo, leo ndege (anaruka) na kesho mnyama (anazaa). Kwa lugha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM iache undumilakuwili Katiba mpya

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) ndicho kinaongoza Serikali, hivyo hakina budi kuwa na msimamo unaoeleweka bayana kuhusu mchakato wa Katiba mpya badala ya kuruhusu utaratibu huu wa sasa wa kila kiongozi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM Zanzibar iache kujigeuza popo

KAULI za baadhi ya viongozi wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar wanaotoka CCM zinanishangaza kwa vile huwa zinabadilika kama lilivyo umbile la popo, leo ndege (anaruka) na kesho mnyama (anazaa). Kwa...

 

9 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Mwaka Mpya Serikali ya CCM iache woga kwa wapinzani

Awali ya yote napenda kuwatakia heri na Baraka za Mwenyezi Mungu kwa wasomaji wangu wote na wananchi kwa ujumla “ Heri ya Mwaka Mpya na Baraka tele kwenu nyote.”

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK katufunza tabia ya CCM!

KAMA kuna mambo ambayo tunapaswa kumsifu na kumpongeza Rais Jakaya Kikwete, basi ni ujasiri wake wa kutuonyesha tabia ya chama chake, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa kimechoka na hakiwezi tena...

 

11 years ago

Habarileo

MNEC CCM ataka tabia ya kulaumu iachwe

MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Issa Sama amewashauri viongozi wa Chama na Serikali mkoani Kagera kuacha tabia ya kulaumu watendaji kuwa wameshindwa kazi yao wakati wao wenyewe hawapiti na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia ilani ya uchaguzi ya chama hicho tawala.

 

10 years ago

Michuzi

Balozi Seif Idd awaasa wana CCM Zanzibar kuacha tabia ya kupuuza mambo yanayowahusu,ili wasije jutia baadae

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM Balozi Seif kizungumza na Viongozi wa Kamati ya Siasa ya Tawi la CCM Upenja.Kushoto yake ni Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Kaskazini “ B” Nd. Hilika Khamis na kulia yake ni Mwenyekiti wa Tawi la CCM Upenja Nd.Daudi Hasnuu Khamis.Baadhi ya wajumbe wa Kamati ya Siasa na Mabalozi wa Nyumba Kumi wa Tawi la CCM Upenja wakimsikiliza Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Taifa Balozi Seif Ali Iddi hayupo pichani alipokuwa akizungumza nao kwenye ukumbi wa...

 

9 years ago

Dewji Blog

PANAFRICAN Energy yatoa yafadhili ujenzi wa wodi ya ‘Mama Ngonjea’ hospitali ya wilaya Kinyonga Kilwa Kivinje

Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Andrew  Kangashaki  (kushoto ) na Mkurugenzi wa Wilaya ya Kilwa Twalib Mbasha wakikabidhiana mkataba wa miradi  ya ujenzi wa nyumba ya mama ngojea  katika hospital ya Kinyonga  na ukarabati wa wodi  ya uzazi  mara baada ya kumaliza kusaini mikataba hiyo katika hafla fupi iliyofanyika jana Kilwa Kivinje.

Meneja Uwajibikaji kwa jamii kutoka Kampuni ya PanAfrican Energy Andrew  Kangashaki (wa tatu kushoto) pamoja na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani