Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MNEC CCM ataka tabia ya kulaumu iachwe

MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Issa Sama amewashauri viongozi wa Chama na Serikali mkoani Kagera kuacha tabia ya kulaumu watendaji kuwa wameshindwa kazi yao wakati wao wenyewe hawapiti na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia ilani ya uchaguzi ya chama hicho tawala.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

MNEC — CCM kusafirisha marehemu

WATU wasio na uwezo wa kusafirisha maiti wa ndugu zao kutoka mjini Iringa kwenda sehemu nyingine nchini wamepata ahueni baada ya Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (NEC-CCM) Mahamudu Madenge kutoa gari lake aina ya Fuso kwa kazi hiyo.

 

11 years ago

Michuzi

Ofisi ya Tawi la CCM Ferry yalizunduliwa na MNEC Phares Magesa leo

 Uzinduzi wa ofisi ya Tawi la CCM Ferry Kigamboni wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam leo. Mjumbe wa NEC Phares Magesa alikuwa Mgeni rasmi ambapo alizindua tawi, na kuendesha harambee ya kuimarisha Chama kuichumi na kuingiza wanachama wapya   Mjumbe wa NEC Phares Magesa akifungua ofisi za tawi hilo   Mjumbe wa NEC Phares Magesa akitoa kadi kwa mwanachama mpya  Mjumbe wa NEC Phares Magesa akihutubia baada ya kuzindua tawi hilo

 

11 years ago

GPL

STEVE NYERERE ATAKA KUIGWA TABIA

MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefunguka kuwa anajitahidi sana kuonyesha maadili mema ili kuhakikisha wanachama wake wote wanamuiga. Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Akistorisha na paparazi wetu juzikati, Steve alisema kuna mambo mengi ambayo alikuwa akiyafanya kabla ya kuwa rais wa klabu hiyo lakini sasa anajiepusha nayo ili kuhakikisha anajenga picha nzuri na...

 

11 years ago

Habarileo

Bulembo ataka tabia ya kukataa watendaji ikome

Abdallah BulemboJUMUIYA ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imekemea tabia ya viongozi wa wilaya na mikoa wanaokataa watendaji wanaopelekwa kufanya kazi katika maeneo yao.

 

10 years ago

Habarileo

JK: Afrika iachwe iamue ukomo wa uongozi

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete, ambaye ameshaanza kuaga ndani na nje ya nchi kuashiria kuondoka madarakani, ametaka mataifa ya Afrika yaachiwe yaamue aina ya mfumo wa siasa unaofaa kwa nchi husika, bila kulazimika kuwepo ukomo wa kiongozi kukaa madarakani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK katufunza tabia ya CCM!

KAMA kuna mambo ambayo tunapaswa kumsifu na kumpongeza Rais Jakaya Kikwete, basi ni ujasiri wake wa kutuonyesha tabia ya chama chake, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuwa kimechoka na hakiwezi tena...

 

11 years ago

Tanzania Daima

CCM iache tabia ya kinyonga

KILA siku katika maisha yangu nimekuwa nikijifunza mbinu mpya za watu wa Zanzibar za kupeleka ujumbe, kufurahia au kukejeli jambo. Hivi karibuni nilipigwa butwaa nilipokuwa katika eneo la Darajani mjini...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Sitta alitakiwa awajibike, siyo kulaumu

Baada ya ajali nyingi kuchukua roho za zaidi ya watu 800 katika kipindi cha miezi mitatu, na mgomo wa madereva kuathiri usafiri wa abiria wa masafa marefu nchini, hatimaye Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta juzi aliibuka na kuelezea chanzo cha tatizo hilo la ajali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani