JK: Afrika iachwe iamue ukomo wa uongozi
RAIS Jakaya Kikwete, ambaye ameshaanza kuaga ndani na nje ya nchi kuashiria kuondoka madarakani, ametaka mataifa ya Afrika yaachiwe yaamue aina ya mfumo wa siasa unaofaa kwa nchi husika, bila kulazimika kuwepo ukomo wa kiongozi kukaa madarakani.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru Newspaper24 Jun
CUF yashindwa kuweka ukomo wa uongozi
NA WAANDISHI WETU
LICHA ya kufanya marekebisho ya Katiba, Chama cha CUF kimeshindwa kugusa vipengele juu ya ukomo wa uongozi ndani ya chama hicho.
Badala yake wamefanya mabadiliko ya kuwaongezea madaraka zaidi Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti, ambao sasa wana uwezo wa kuteua mjumbe wa kamati ya utendaji ya taifa.
Awali, wajumbe wa Kamati ya Utendaji walikuwa wanatokana na mkutano mkuu wa taifa, ambao ulikuwa unawachagua kwa kuwapigia kura na si kuwateua.
Akitangaza baadhi mabadiliko hayo, Naibu...
11 years ago
Habarileo05 Jan
MNEC CCM ataka tabia ya kulaumu iachwe
MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Issa Sama amewashauri viongozi wa Chama na Serikali mkoani Kagera kuacha tabia ya kulaumu watendaji kuwa wameshindwa kazi yao wakati wao wenyewe hawapiti na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia ilani ya uchaguzi ya chama hicho tawala.
11 years ago
Mwananchi16 Mar
Wanawake na uongozi Afrika, duniani
9 years ago
Habarileo11 Sep
JK akabidhiwa tuzo ya uongozi bora Afrika
SIKU mbili baada ya kutunukiwa Nishani ya Amani na Utulivu katika Ukanda wa Afrika Mashariki, Rais Jakaya Kikwete jana alikabidhiwa tuzo nyingine ya kimataifa, ya Utawala Bora barani Afrika kwa mwaka 2015.
11 years ago
Tanzania Daima04 Apr
Sumaye: Uongozi bora tatizo Afrika
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema matatizo na migogoro mingi inayotokea barani Afrika inasababishwa na kutokuwapo kwa uongozi na utawala bora. Sumaye alibainisha kuwa ili kutimiza sera ya uongozi na...
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Machumu mshindi tuzo uongozi Afrika Mashariki
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-EyH8QpnIreM/XtNs5GRMMbI/AAAAAAABCAg/92juDaWmMqsPatyXfrCd-tb196FS5PAAQCNcBGAsYHQ/s72-c/who.jpg)
WHO: UONGOZI IMARA CHANZO CHA AFRIKA KUPATA MAAMBUKIZI MADOGO YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-EyH8QpnIreM/XtNs5GRMMbI/AAAAAAABCAg/92juDaWmMqsPatyXfrCd-tb196FS5PAAQCNcBGAsYHQ/s1600/who.jpg)
Afrika ina 1.5% ya visa vyote vya corona vilivyoripotiwa duniai kote, na ina 0.1% ya vifo vya corona duniani kote, kwa mujibu wa WHO.
Mkurugenzi wa WHO Ukanda wa Afrika, Dkt. Matshidiso Moeti alitoa kauli hiyo alipozungumza na vyombo vya habari mwishoni mwa wiki, kuhusu hali ya maambukizi...
10 years ago
VijimamboRais Museveni awasili nchini kuhudhuria Mkutano wa Jukwaa la Uongozi la Afrika