CUF yashindwa kuweka ukomo wa uongozi
NA WAANDISHI WETU
LICHA ya kufanya marekebisho ya Katiba, Chama cha CUF kimeshindwa kugusa vipengele juu ya ukomo wa uongozi ndani ya chama hicho.
Badala yake wamefanya mabadiliko ya kuwaongezea madaraka zaidi Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti, ambao sasa wana uwezo wa kuteua mjumbe wa kamati ya utendaji ya taifa.
Awali, wajumbe wa Kamati ya Utendaji walikuwa wanatokana na mkutano mkuu wa taifa, ambao ulikuwa unawachagua kwa kuwapigia kura na si kuwateua.
Akitangaza baadhi mabadiliko hayo, Naibu...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo18 Jul
JK: Afrika iachwe iamue ukomo wa uongozi
RAIS Jakaya Kikwete, ambaye ameshaanza kuaga ndani na nje ya nchi kuashiria kuondoka madarakani, ametaka mataifa ya Afrika yaachiwe yaamue aina ya mfumo wa siasa unaofaa kwa nchi husika, bila kulazimika kuwepo ukomo wa kiongozi kukaa madarakani.
11 years ago
Habarileo02 Jul
CCM yatuhumiwa kuweka mamluki CUF
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mjini Lindi mkoani humo, wamedaiwa kuweka mamluki wao katika Chama cha Wananchi (CUF) ili washinde kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, zitakazoanza Oktoba mwaka huu na madiwani na wabunge mwakani.
11 years ago
Tanzania Daima03 Jun
CUF yahimiza wanachama kuwania uongozi
CHAMA cha Wananchi (CUF) Wilaya Bukoba Mjini, mkoani Kagera, kimewataka wanachama na wakereketwa wa chama hicho kuhamasishana kukipa nguvu chama pamoja na kujitokeza kwa wingi kugombea nafasi za uongozi katika...
11 years ago
Mwananchi04 May
CUF Taifa yafungua milango ya uongozi
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-5d05Cx4huO4/U7ACcCJFO0I/AAAAAAAFtbA/hPtK899nRC8/s72-c/unnamed+(3).jpg)
Wajumbe wa Baraza Kuu la Uongozi CUF wakutana
![](http://2.bp.blogspot.com/-5d05Cx4huO4/U7ACcCJFO0I/AAAAAAAFtbA/hPtK899nRC8/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-iyLef7AMZ6g/U7ACcbfIA9I/AAAAAAAFtbE/vIStBPcQ8BQ/s1600/unnamed+(4).jpg)
10 years ago
Mtanzania10 Jun
Chifu Yemba apinga kufukuzwa uongozi CUF
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
MJUMBE wa zamani wa Baraza Kuu la Chama Cha Wananchi (CUF), Chifu Lutayosa Yemba amekata rufaa kwa Katibu Mkuu wa chama hicho, Seif Sharif Hamad kupinga uamuzi wa kufukuzwa akidai kuwa taarifa iliyotolewa na kusababisha uamuzi huo ni ya uongo.
Chifu Yemba ambaye pia alikuwa mwenyekiti wa CUF Wilaya ya Shinyanga alikuwa mpinzani wa Mwenyekiti wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba katika kuwania uenyekiti wa chama hicho kwenye uchaguzi ndani ya chama hicho uliofanyika...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-KJ4LtC7HGRM/U2UbOyoL98I/AAAAAAAFfNg/dCLpUwFZLHY/s72-c/unnamed+(52).jpg)
Baraza Kuu la Uongozi CUF Taifa lakutana jijini dar es salaam leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-KJ4LtC7HGRM/U2UbOyoL98I/AAAAAAAFfNg/dCLpUwFZLHY/s1600/unnamed+(52).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/--b25PwpQIQc/U2UbO2GbGzI/AAAAAAAFfNo/QTawZ0Rg_dc/s1600/unnamed+(53).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-H5UuuQ1WPaA/U2UbOyo0A3I/AAAAAAAFfNk/o0te3UwsXS8/s1600/unnamed+(54).jpg)
10 years ago
VijimamboBAADA YA PROFESA IBRAHIM LIPUMBA KUJIUZULU UWENYEKITI, UONGOZI WA CUF ZANZIBAR WATOA TAMKO
Jana tarehe 6 Agosti, 2015 Profesa Ibrahim Lipumba aliitisha mkutano na waandishi wa habari katika Hoteli ya Peacock, mjini Dar es...
11 years ago
MichuziMAFANIKIO NA CHANGAMOTO ZA CUF KIPINDI CHA MIAKA MITANO VIWE VITENDEA KAZI KWA UONGOZI MPYA
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasilisha taarifa ya chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika Ubungo Plaza Dar es Salaam.