Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CCM yatuhumiwa kuweka mamluki CUF

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mjini Lindi mkoani humo, wamedaiwa kuweka mamluki wao katika Chama cha Wananchi (CUF) ili washinde kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, zitakazoanza Oktoba mwaka huu na madiwani na wabunge mwakani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

StarTV

CCM kuwachukulia hatu Mamluki.

Na Oliver Motto, Iringa.

 

Siku kadhaa baada ya kampeni za uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa kuanza rasmi, Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimedai kugundua mbinu chafu – zinazofanywa na baadhi ya wanachama wake mamluki.

 

CCM kinasema katika hilo hakitavumilia kwani kitahakikisha kinawatimua viongozi na wanachama wote watakaobainika kutumiwa na vyama vingine kukiangusha chama hicho katika uchaguzi huo wa serikali za mitaa.

 

Hassani Mtenga katibu wa CCM Mkoa wa Iringa...

 

9 years ago

Habarileo

‘Waliopewa ubunge upinzani wakiwa CCM ni mamluki’

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema viongozi wa jumuiya zake walioteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ubunge wa Viti Maalumu, walikuwa mamluki na maharamia kwa kukiuka kiapo cha chama.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CUF yashindwa kuweka ukomo wa uongozi


NA WAANDISHI WETU
LICHA ya kufanya marekebisho ya Katiba, Chama cha CUF kimeshindwa kugusa vipengele juu ya ukomo wa uongozi ndani ya chama hicho. 
Badala yake wamefanya mabadiliko ya kuwaongezea madaraka zaidi Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti, ambao sasa wana uwezo wa kuteua mjumbe wa kamati ya utendaji ya taifa.
Awali, wajumbe wa Kamati ya Utendaji walikuwa wanatokana na mkutano mkuu wa taifa, ambao ulikuwa unawachagua kwa kuwapigia kura na si kuwateua.
Akitangaza baadhi mabadiliko hayo, Naibu...

 

10 years ago

Dewji Blog

CCM Lindi yakutana kuweka mikakati mizuri

1

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa Ndugu Nape Nnauye akitoa salaam za pongezi kwa wananchi wa kijiji cha Kilangala B kata ya Kilangala  kwa kuipa ushindi CCM kwenye uchaguzi serikaliza mitaa uliofanyika desemba 2014, Katika mkutano huo Nape aliwaeleza wananchi hao CCM ndio chama pekee kinachotoa majibu kwa matatizo ya wananchi.

 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa na Mwenyekiti  aliyeshinda uchaguzi Hamid Rashid Namtonda akitoa salaam za kushukuru wakazi wa kijiji cha...

 

11 years ago

BBCSwahili

GSK yatuhumiwa kuwahonga madaktari

Kampuni ya madawa Uingereza GlaxoSmithKline inachunguzwa Poland kwa tuhuma za kuwahonga madaktari ili kushinikiza mauzo ya madawa.

 

11 years ago

Habarileo

Afya yatuhumiwa kuongoza kwa rushwa

IDARA ya Afya katika halmashauri za wilaya mkoani Iringa inadaiwa kuongoza kwa kuwa na matukio mengi ya rushwa ikilinganishwa na idara nyinginezo. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetaja idara hiyo kuongoza katika kipindi kati ya Julai 2012 na Juni mwaka jana kwa kuwa na taarifa 16 za matukio ya rushwa.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yatuhumiwa kushindwa kutekeleza mapendekezo.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

 

Rais Jakaya Kikwete ameapisha safu ya uongozi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakati mwenyekiti mstaafu wa Tume hiyo Jaji Kiongozi Mstaafu Amir Manento akiishutumu Serikali kushindwa kutekeleza baadhi ya mapendekezo ya Tume hiyo hatua inayochukuliwa kama ni uvunjwaji wa haki za msingi za binadamu.

Kuapishwa kwa Tume hiyo kunakuja wakati ambapo wanaharakati wa haki za binadamu wakilalamikia kucheleweshwa kwa uteuzi wa makamishna hao na kupunguza...

 

9 years ago

Vijimambo

Serikali ya CCM Yaahidi Kuweka Umeme Vijiji Vyote Tanzania Ndani ya Miaka Miwili Madarakani


Mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) nafasi ya urais, Bi. Samia Suluhu Hassan akizungumza na wanachama wa CCM pamoja na wananchi wa Jimbo la Kilindi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni Mkoa wa Tanga. Miongoni mwa ahadi aliyoitoa kwa wanaKilindi ni kulishughulikia suala la upatikanaji wa huduma za maji safi na salama pamoja na ujenzi wa barabara ya kuingia na kutoka katika Wilaya hiyo.
Baadhi ya wananchi na wanachama wa CCM Kijiji cha Kwediboma wakiwa wamesimamisha msafara wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani