Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Afya yatuhumiwa kuongoza kwa rushwa

IDARA ya Afya katika halmashauri za wilaya mkoani Iringa inadaiwa kuongoza kwa kuwa na matukio mengi ya rushwa ikilinganishwa na idara nyinginezo. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetaja idara hiyo kuongoza katika kipindi kati ya Julai 2012 na Juni mwaka jana kwa kuwa na taarifa 16 za matukio ya rushwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mkurugenzi wa Wizara ya Afya kortini kwa tuhuma za rushwa

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mkuu wa Afya na Usafi wa Mazingira wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Elias Chinamo amefikishwa mbele ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Kisutu akikabiliwa na mashtaka 14 ya kuomba na kupokea rushwa.

 

9 years ago

Mwananchi

Dk Hoseah achaguliwa kuongoza mapambano ya rushwa A.Mashariki

Uchaguzi huo umefanyika leo Jijini Entebe – Uganda, katika Mkutano Mkuu wa nane wa shirikisho hilo ulioanza leo.

 

11 years ago

Dewji Blog

Wajawazito walalamikia ‘Rushwa’ Kituo cha Afya Simambwe

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi. Kushoto ni mmoja wa manesi wa kituo.

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi. Kushoto ni mmoja wa manesi wa kituo.

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi.

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi.

Sehemu ya jengo la Kituo cha Afya Simambwe, likitoa huduma.

Sehemu ya jengo la Kituo cha Afya Simambwe, likitoa huduma.

Mbeya Vijijini 

BAADHI ya akinamama na wanakijiji wa baadhi ya vijiji vya Kata ya Tembela Wilaya ya Mbeya Vijijini wamewalalamikia wauguzi na wahudumu wa afya katika Kituo cha Afya...

 

11 years ago

GPL

WAJAWAZITO WALALAMIKIA ‘RUSHWA’ KITUO CHA AFYA SIMAMBWE

Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya Simambwe, Salome Mwaipopo (kulia) akizungumza na mwandishi wa habari hizi (hayupo pichani). Kushoto ni mmoja wa manesi wa kituo. Sehemu ya jengo la Kituo cha Afya Simambwe, kikitoa…

 

11 years ago

BBCSwahili

GSK yatuhumiwa kuwahonga madaktari

Kampuni ya madawa Uingereza GlaxoSmithKline inachunguzwa Poland kwa tuhuma za kuwahonga madaktari ili kushinikiza mauzo ya madawa.

 

5 years ago

Michuzi

Serikali yatoa wito wananchi kujiepusha na rushwa wakati huduma za afya-Dkt. Subi


Na Chalila Kibuda ,Globu ya Jamii

SERIKALI imetoa wito kwa wananchi kuacha kutoa rushwa kwa wahudumu wa afya pindi wanapopatiwa huduma kwani kutoa kutoa huduma ni wajibu wao.

Hayo ameyasema  Mkurugenzi wa Huduma za Kinga wa Wizara ya Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto  Dkt. Leonard Subi wakati wa Uzinduzi wa Kampeni ya Wanawake Wanataka Nini inayoratibiwa na Muungano wa Utepe Mweupe wa Uzazi Salama Tanzania ikiwa ni maadhimisho ya Utepe Mweupe Tanzania ambayo hufanyika Kila Machi...

 

10 years ago

StarTV

Serikali yatuhumiwa kushindwa kutekeleza mapendekezo.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

 

Rais Jakaya Kikwete ameapisha safu ya uongozi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakati mwenyekiti mstaafu wa Tume hiyo Jaji Kiongozi Mstaafu Amir Manento akiishutumu Serikali kushindwa kutekeleza baadhi ya mapendekezo ya Tume hiyo hatua inayochukuliwa kama ni uvunjwaji wa haki za msingi za binadamu.

Kuapishwa kwa Tume hiyo kunakuja wakati ambapo wanaharakati wa haki za binadamu wakilalamikia kucheleweshwa kwa uteuzi wa makamishna hao na kupunguza...

 

11 years ago

Habarileo

CCM yatuhumiwa kuweka mamluki CUF

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mjini Lindi mkoani humo, wamedaiwa kuweka mamluki wao katika Chama cha Wananchi (CUF) ili washinde kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, zitakazoanza Oktoba mwaka huu na madiwani na wabunge mwakani.

 

11 years ago

Mwananchi

Luena: Nilijifunza kwa kuongoza kwa siku moja

Oliva Luena anaingia katika orodha ya wanawake waliofanya makubwa ndani na nje ya Tanzania baada ya kuteuliwa kuongoza kwa siku moja Bunge Maalumu la Katiba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani