Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


GSK yatuhumiwa kuwahonga madaktari

Kampuni ya madawa Uingereza GlaxoSmithKline inachunguzwa Poland kwa tuhuma za kuwahonga madaktari ili kushinikiza mauzo ya madawa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Akamatwa na Mamilioni Akitaka kuwahonga Wajumbe wa Halmashauri kuu ya CCM Dodoma


Mtu mmoja amekamatwa mkoani dodoma na maburungutu ya fedha hotelini, inasemekana alikuwa na lengo la kuwahonga wajumbe wampitishe mmoja wa gombea uteuzi..nani kamtuma?

 

11 years ago

Dewji Blog

GSK yatangaza kuwasilisha kwa Chanjo ya Malaria ya RTS, S

GSK-logo

GSK leo  Julai 24-2014 imetangaza   imewasilisha maombi ya udhibiti wa chanjo ya malaria RTS,S katika shirika ya  Ulaya ya Madawa Agency (EMA).

Uwasilishaji unafuata Ibara ya 58 ya utaratibu, ambayo inaruhusu EMA kutathmini ubora, usalama na ufanisi wa chanjo au dawa, zinazotengenezwa  viwandani vya nchi za  Umoja wa Ulaya (EU) kwa kutibu magonjwa yanayo tambuliwa na Shirika la Afya Duniani (WHO) kama magonjwa ya athari ya afya ya umma, lakini lengo kwa ajili tu ya matumizi nje  ya EU....

 

11 years ago

Habarileo

CCM yatuhumiwa kuweka mamluki CUF

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mjini Lindi mkoani humo, wamedaiwa kuweka mamluki wao katika Chama cha Wananchi (CUF) ili washinde kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, zitakazoanza Oktoba mwaka huu na madiwani na wabunge mwakani.

 

10 years ago

StarTV

Serikali yatuhumiwa kushindwa kutekeleza mapendekezo.

Na Lilian Mtono,

Dar es Salaam.

 

Rais Jakaya Kikwete ameapisha safu ya uongozi ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakati mwenyekiti mstaafu wa Tume hiyo Jaji Kiongozi Mstaafu Amir Manento akiishutumu Serikali kushindwa kutekeleza baadhi ya mapendekezo ya Tume hiyo hatua inayochukuliwa kama ni uvunjwaji wa haki za msingi za binadamu.

Kuapishwa kwa Tume hiyo kunakuja wakati ambapo wanaharakati wa haki za binadamu wakilalamikia kucheleweshwa kwa uteuzi wa makamishna hao na kupunguza...

 

11 years ago

Habarileo

Afya yatuhumiwa kuongoza kwa rushwa

IDARA ya Afya katika halmashauri za wilaya mkoani Iringa inadaiwa kuongoza kwa kuwa na matukio mengi ya rushwa ikilinganishwa na idara nyinginezo. Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imetaja idara hiyo kuongoza katika kipindi kati ya Julai 2012 na Juni mwaka jana kwa kuwa na taarifa 16 za matukio ya rushwa.

 

11 years ago

Dewji Blog

GSK and Save the Children offer $1 million award for healthcare innovations in developing countries that reduce child deaths

glaxosmithkline

The Healthcare Innovation Award contributes to an ambitious partnership between GSK and Save the Children, which aims to save the lives of a million of the world’s poorest children.

 GSK (http://www.gsk.com) and Save the Children today announced the launch of their second annual $1 million Healthcare Innovation Award at the Partnership for Maternal, Newborn and Child Health meeting in South Africa. The award was established to identify and reward innovations in healthcare that have proven...

 

10 years ago

Michuzi

TIMU YA MADAKTARI BINGWA KUTOKA NCHINI CHINA WAKISHIRIKIANA NA MADAKTARI WA ZANZIBAR WATOA HUDUMA ZA KIJAMII KATIKA KIJIJI CHA KISAUNI ZANZIBAR

  Dokta Gao Yun Lai akimpima presha na sukari bwana Mohd Ali mkazi wa Kisauni upimaji huo ulifanyika katika kijiji  cha kisauni Zanzibar.   Dokta Fadhil Mohd ambae ni dokta dhamana kanda ya Unguja akitoa maelezo kwa waandishi wa habari hawapo pichani.Wananchi mbalimbali wakipatawa  huduma za matibabu katika kijiji cha Kisauni zanzibar.Picha na Abdalla Omar habari maelezo zanzibar.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani