‘Waliopewa ubunge upinzani wakiwa CCM ni mamluki’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema viongozi wa jumuiya zake walioteuliwa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) katika ubunge wa Viti Maalumu, walikuwa mamluki na maharamia kwa kukiuka kiapo cha chama.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV05 Dec
CCM kuwachukulia hatu Mamluki.
Na Oliver Motto, Iringa.
Siku kadhaa baada ya kampeni za uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa kuanza rasmi, Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Iringa kimedai kugundua mbinu chafu – zinazofanywa na baadhi ya wanachama wake mamluki.
CCM kinasema katika hilo hakitavumilia kwani kitahakikisha kinawatimua viongozi na wanachama wote watakaobainika kutumiwa na vyama vingine kukiangusha chama hicho katika uchaguzi huo wa serikali za mitaa.
Hassani Mtenga katibu wa CCM Mkoa wa Iringa...
11 years ago
Habarileo02 Jul
CCM yatuhumiwa kuweka mamluki CUF
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mjini Lindi mkoani humo, wamedaiwa kuweka mamluki wao katika Chama cha Wananchi (CUF) ili washinde kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa, zitakazoanza Oktoba mwaka huu na madiwani na wabunge mwakani.
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Mgombea mwenza CCM aupukutisha upinzani Lindi, 61 wajiunga CCM, wamo viongozi



10 years ago
Vijimambo
MGOMBEA MWENZA CCM APUKUTISHA UPINZANI LINDI, 61 WAJUNGA NA CCM WAMO VIONGOZI



10 years ago
Michuzi
Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Hassan apukutisha Upinzani Lindi, 61 Wajiunga CCM, Wamo Viongozi




10 years ago
Mwananchi08 Oct
Kinana: Wanaohubiri mabadiliko walishindwa kuyaleta wakiwa CCM
10 years ago
Vijimambo
PICHA WAGOMBEA URAIS KUPITIA CCM WAKIWA KWA TB JOSHUA NIGERIA

Hon. Lowassa in 2012 at TB Joshua Church!!


11 years ago
Mwananchi07 Jun
Chikawe awafunda waliopewa uraia