Machumu mshindi tuzo uongozi Afrika Mashariki
Kampuni inayofanya utafiti wa Utawala Bora katika nchi za Afrika ya CEO Titans Building Nations ya Afrika Kusini, imemtunuku tuzo mbili Mhariri Mtendaji Mkuu wa Mwananchi Communications Limited (MCL), Bakari Machumu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo11 Sep
JK akabidhiwa tuzo ya uongozi bora Afrika
SIKU mbili baada ya kutunukiwa Nishani ya Amani na Utulivu katika Ukanda wa Afrika Mashariki, Rais Jakaya Kikwete jana alikabidhiwa tuzo nyingine ya kimataifa, ya Utawala Bora barani Afrika kwa mwaka 2015.
10 years ago
Habarileo27 Nov
TASAF yatunukiwa tuzo Afrika Mashariki
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umetunukiwa tuzo ya uzingatiaji wa taratibu na kanuni za manunuzi kwa kipindi cha mwaka 2013/14 baada ya kuibuka mshindi miongoni mwa taasisi za serikali na mashirika ya umma kwa manunuzi bora.
10 years ago
Mwananchi26 Dec
Dewji atunukiwa tuzo uongozi bora Afrika
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V08ahUUEp1U/VYFNQ0dqQXI/AAAAAAAHgZ0/-ElwsDN4Uoo/s72-c/01.jpeg)
BENKI YA NBC YASHINDA TUZO YA SUPERBRAND AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-V08ahUUEp1U/VYFNQ0dqQXI/AAAAAAAHgZ0/-ElwsDN4Uoo/s640/01.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SdFF2fqviVw/VYFNQlTsn5I/AAAAAAAHgZw/dQ-2iOCdNyE/s640/02.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KAALie30jgw/VYFNQfRmrGI/AAAAAAAHgZs/jsWiz9z0O_c/s640/03..jpeg)
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
TBL washindi wa jumla tuzo za RECP Afrika Mashariki
![01](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/0112.jpg)
Waziri wa Nchi wa Mazingira wa Uganda, Flavia Namugere (katikati) akiwakabidhi tuzo ya ushindi wa jumla ya RECP Afrika Mashariki ya usimamizi bora wa matumizi ya maji na nishati kwa Mhandisi wa Huduma za Kiufundi wa Kiwanda cha Mwanza cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sunday Kidolezi (kushoto), na Mhandisi wa Mitambo wa kiwanda hicho, Erick Ernest ambayo kampuni hiyo ilituzwa katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Entebe, Uganda.
Tanzania Deputy Permanent Secretary for...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Sauti Soul wachukua tuzo ya utanashati Afrika Mashariki
KAMPALA, UGANDA
KUNDI la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Sol, wanazidi kujitengenezea jina baada ya juzi kufanikiwa kuchukua tuzo ya kundi bora la wasanii watanashati Afrika Mashariki.
Tuzo hizo zilitolewa Kampala, nchini Uganda, kwenye ukumbi wa Abryanz Style, ambapo tuzo hizo zilipambwa na wasanii mbalimbali kufanya shoo.
Kundi hilo kwa sasa limekuwa na jina kubwa mara baada ya kuanza kutajwa kwenye tuzo za MTV EMA mwaka 2014, MTV MAMAs na BET, hivyo tuzo hiyo ambayo wameipata...
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA TAASISI YA UONGOZI YA AFRIKA MASHARIKI KWA MWAKA 2014
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APOKEA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....