WAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA TAASISI YA UONGOZI YA AFRIKA MASHARIKI KWA MWAKA 2014
Makamu Mkuu wa Chuo cha Dar es Salaam na Mkurugenzi wa Taasisi ya Uongozi ya Afrika Mashariki, Prof. Rwekaza Mukandala akimkaribisha Waziri Membe kufungua rasmi mafunzo hayo. Wengine katika picha ni Dkt. Benson Bana (wa kwanza kulia), Mhadhiri na Mratibu wa Mafunzo hayo kwa mwaka 2014 na Prof. Betram Mapunda (wa kwanza kushoto).
Waziri Membe akitoa hotuba ya ufunguzi wa mafunzo hayo.
Sehemu ya Wanafunzi wakimsikiliza Mhe. Membe (hayupo pichani) alipowahutubia.
Sehemu nyingine ya Wanafunzi...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dOwoeAo4YTQ/VVYPoEOuECI/AAAAAAAC4iY/zDoJ22W8-8s/s72-c/Pix%2B03.jpg)
Waziri Membe afunga rasmi kongamano la wadau wa habari ukanda wa Afrika Mashariki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dOwoeAo4YTQ/VVYPoEOuECI/AAAAAAAC4iY/zDoJ22W8-8s/s640/Pix%2B03.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e3EmLDi3F50/VVYPoIxozuI/AAAAAAAC4ic/RAD7Hp2YLuI/s640/Pix%2B01.jpg)
9 years ago
Dewji Blog16 Aug
Waziri Mkuu Mizengo Pinda afungua rasmi mafunzo ya Uongozi daraja la kwanza Chuo cha Magereza Kiwira,Mbeya
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Mizengo Peter Pinda(katikati) akipokea Salaam kutoka kwa Gwaride lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi Daraja la Kwanza kwa Askari wa Jeshi la Magereza(hawapo pichani). Kushoto ni Kamishna Jenerali wa Magereza, John Casmir Minja(kulia) ni Mkuu wa Chuo cha Magereza Kiwira, SACP. Stanford Ntirundura.
Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Peter Pinda akikagua Gwaride rasmi lililoandaliwa na Wahitimu wa Mafunzo ya Uongozi wa Daraja la kwanza...
9 years ago
VijimamboTAASISI YA UTAFITI YA VYUO VIKUU VYA AFRIKA MASHARIKI NA KUSINI (ESAURP)YAANDAA MAFUNZO KWA WAFANYABIASHARA NDOGO NDOGO MKOANI MBEYA
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Balozi Iddi afungua rasmi mkutano wa kikanda juu ya ukuaji wa miji ya Afrika Mashariki
Afisa mtendaji mkuu wa Taasisi ya Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI Institute) Prof. Joseph Semboja, (Kulia) akimkaribisha Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar , Mh. Balozi Seif Ali Iddi, (kushoto) kufungua rasmi Mkutano wa kikanda uliokutanisha viongozi na watunga sera kutoka nchi za Afrika mashariki, kuzungumzia changamoto za ukuaji wa miji na kushughulikia hali ya baadae ya miji ya Afrika mpaka ifikapo 2050, katikati ni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick....
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-9l26CrgDE0Q/U26En-q46oI/AAAAAAAFgsk/DjNEY_CI0go/s72-c/IMG_8783.jpg)
10 years ago
MichuziWaziri Membe mgeni rasmi kwenye sherehe za kuukaribisha mwaka Mpya waKichina
10 years ago
Dewji Blog05 Mar
Rais Kikwete kuwa mgeni rasmi Bonanza la Maveteran wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, Aprili 4-5, mwaka huu
Mwenyekiti wa Klabu ya Maveteran, Mussa Kisoky (katikati) akizungumza na wandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa mkutano wao juu ya Bonanza hilo la Maveteran wa Afrika Mashariki hiyo Aprili 4 hadi 5, mwaka huu. Kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Kamati ya Maandalizi, Mtemi Ramadhani na kwa upande wa kulia ni, Lawarence Mwalusako, tukio lililofanyika katika ukumbi wa Idara habari MAELEZO, jijini Dar es Salaam (Picha na Andrew Chale).
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
RAIS wa Jamhuri ya...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0LRSEl-Txjw/Vc_L7_t4r9I/AAAAAAAHxNA/R0uKyhRAztI/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AFUNGA RASMI MAFUNZO YA UONGOZI DARAJA LA KWANZA CHUO CHA MAGEREZA KIWIRA, MKOANI MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-0LRSEl-Txjw/Vc_L7_t4r9I/AAAAAAAHxNA/R0uKyhRAztI/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8i2N9W3Cr6s/Vc_L73c25WI/AAAAAAAHxNE/2wqrVmynvZw/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)