Waziri Membe afunga rasmi kongamano la wadau wa habari ukanda wa Afrika Mashariki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dOwoeAo4YTQ/VVYPoEOuECI/AAAAAAAC4iY/zDoJ22W8-8s/s72-c/Pix%2B03.jpg)
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe akisisitiza jambo kwa wadau mbalimbali wa habari toka nchi za ukanda wa Afrika Mashariki mapema hii leo wakati akifunga kongamano la siku mbili la wadau wa habari liloandaliwa na Jumuiya ya Afrika Mashariki lenye lengo la kuangalia mchango wa vyombo vya habari katika kukuza demokrasia katika nchi za ukanda wa Afrika Mashariki.
Mhariri wa gazeti la Hoja toka nchini Tanzania Bw. Yassin Sadik akichangia mada wakati wa kufunga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA BARAZA LA MAWAZIRI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI
11 years ago
MichuziWAZIRI MEMBE AFUNGUA RASMI MAFUNZO YA TAASISI YA UONGOZI YA AFRIKA MASHARIKI KWA MWAKA 2014
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-EpLP1I4ZxoI/Uy63xatRoZI/AAAAAAAFVuY/xQN5d1j9leI/s72-c/image.pngNN.png)
Naibu Waziri afunga mashindano ya Netball Afrika Mashariki
![](https://mail.google.com/mail/u/0/images/cleardot.gif)
![](http://1.bp.blogspot.com/-EpLP1I4ZxoI/Uy63xatRoZI/AAAAAAAFVuY/xQN5d1j9leI/s1600/image.pngNN.png)
![](http://4.bp.blogspot.com/-QVXzC2QXIvY/Uy65YgHqC8I/AAAAAAAFVug/MHSSw70knYw/s1600/image.pngM.png)
Waziri wa Wizara ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki Dkt. Abdulla Juma Abdulla Saadala akicheza mpira wa Pete kuashiria ufunguzi wa Mchezo wa kwanza wa mashindano ya mpira wa Pete wa Klabu Bingwa Afrika Mashariki kati ya Uganda Bima na Magereza Morogoro.
![](http://4.bp.blogspot.com/-Y01-2QoNrRo/Uy65vvpwbfI/AAAAAAAFVuo/py7_DtXdZiY/s1600/image.pngB.png)
Waziri wa Wizara ya Ushirikiano...
10 years ago
MichuziMH. ANGELA KAIRUKI AFUNGA RASMI MKUTANO WA KIKANDA WA UKUAJI WA MAISHA YA BAADAE KWA MIJI YA AFRIKA MASHARIKI
Mkutano huo wa siku mbili uliohudhuriwa na wawakilishi wa ngazi za juu kutoka serikalini, mashirika ya kikanda na kimataifa, miji mikubwa, wasomi, sekta binafsi na asasi za kiraia...
10 years ago
MichuziMH. PINDA AFUNGA KONGAMANO LA JIOLOJIA AFRIKA
10 years ago
MichuziMAHAFALI YA PILI YA PROGRAM YA HAKI ZA BINADAMU UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI YAFANYIKA DAR
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-46knnDJ2l74/VlhFdjlkYII/AAAAAAAIIm0/0AHJIz7OUkI/s72-c/u15camp.png)
U15 YAINGIA KAMBINI KUJIANDAA NA ZIARA YA MAFUNZO KATIKA UKANDA WA AFRIKA MASHARIKI
![](http://4.bp.blogspot.com/-46knnDJ2l74/VlhFdjlkYII/AAAAAAAIIm0/0AHJIz7OUkI/s640/u15camp.png)
Kocha wa timu hiyo Sebastian Mkomwa amesema vijana wote wameshawasili jijini Dar es salaam na leo wameanza mazoezi asubuhi katika uwanja wa Karume watakapokua wanajifua kila asubuhi na jioni mpaka siku ya safari.
Kikosi cha wachezaji 24 kimeingia...
10 years ago
Dewji Blog23 Feb
Kairuki afunga mkutano wa ukuaji wa miji Afrika Mashariki
Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Mendeleo ya makazi,Mhe:Angela Kairuki, akiongea na Viongozi na watunga Sera kutoka Nchi za Afrika Mashariki wakati wa kufunga Mkutano wa siku mbili ulioandaliwa na Taasisi ya Uongozi wa Afrika kwa Maendeleo Endelevu (UONGOZI INSTITUTE) uliozungumzia changamoto za ukuaji wa miji na jinsi gani tungependa kuishi ifikapo 2050. Mkutano huo ulifanyika katika hoteli ya Hyatt Regency zamani Kilimanjaro-jijini Dar es Salaam.
Afisa mtendaji Mkuu wa Taasisi ya Uongozi...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
KAMISHNA WA SHERIA NA UENDESHAJI WA MAGEREZA AFUNGA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ydWoDqUKjr4/VeoDbsr_vcI/AAAAAAAH2ag/NWXPm-Aepqo/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)