MH. PINDA AFUNGA KONGAMANO LA JIOLOJIA AFRIKA
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mizengo Pinda, akihutubia wakati akifunga Kongamano la 25 la Wajiolojia Barani Afrika lililofanyika tarehe 14-16 Jijini Dar es Salaam. Wakati akifunga Kongamano hilo, Waziri Pinda amewataka watafiti barani Afrika kufanya tafiti ambazo zina mahusiano ya moja kwa moja na jamii ili tafiti hizo zitumike katika kuwazesha wananchi kufaidika na rasilimali zilizopo barani Afrika.
Baadhi ya Wajilojia kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wanaohudhuria...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-dOwoeAo4YTQ/VVYPoEOuECI/AAAAAAAC4iY/zDoJ22W8-8s/s72-c/Pix%2B03.jpg)
Waziri Membe afunga rasmi kongamano la wadau wa habari ukanda wa Afrika Mashariki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-dOwoeAo4YTQ/VVYPoEOuECI/AAAAAAAC4iY/zDoJ22W8-8s/s640/Pix%2B03.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-e3EmLDi3F50/VVYPoIxozuI/AAAAAAAC4ic/RAD7Hp2YLuI/s640/Pix%2B01.jpg)
10 years ago
Dewji Blog11 Nov
Pinda afungua Kongamano la ufugaji Nyuki Afrika
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma kabla ya kufungua kongamno la ufugaji nyuki Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014. Kushoto ni Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akihutubia wakati alipofungua Kongamano la Ufugaji Nyuki Barani Afrika kwenye Kituo cha Mikutano cha Kimataifa cha Arusha (AICC) Novemba 11, 2014.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea tuzo ya...
11 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AFUNGA MKUTANO WA KUHUSU KUWALINDA TEMBO AFRIKA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-n7SktOMAx9E/VRk7e8eRlyI/AAAAAAAHOW0/nRmZXfONmgs/s72-c/3A.jpg)
MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGA KONGAMANO LA 3 LA VIJANA WA TANZANIA NA CHINA, JIJINI ARUSHA
![](http://1.bp.blogspot.com/-n7SktOMAx9E/VRk7e8eRlyI/AAAAAAAHOW0/nRmZXfONmgs/s1600/3A.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-12zku_tzIr0/VRk7exWXzbI/AAAAAAAHOW4/P181GHsfJXQ/s1600/3B.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-uU1oc0cLqNk/VRk7fgnwIAI/AAAAAAAHOW8/bwGjbWafVqI/s1600/4.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WZdortxECeQ/Uy2WtoupjbI/AAAAAAAFVmE/Tuvl8xEy3tQ/s72-c/unnamed+(17).jpg)
PINDA AFUNGA WIKI YA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-WZdortxECeQ/Uy2WtoupjbI/AAAAAAAFVmE/Tuvl8xEy3tQ/s1600/unnamed+(17).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-g0wk_76ta8I/Uy2WtyuLUgI/AAAAAAAFVmM/VZaD-TMFoFI/s1600/unnamed+(18).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-eom6qLz1kjs/Uy2Wu5EhLdI/AAAAAAAFVmQ/XARiWyekuSY/s1600/unnamed+(20).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s72-c/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
KAMISHNA WA SHERIA NA UENDESHAJI WA MAGEREZA AFUNGA RASMI KONGAMANO LA WASAIDIZI WA KISHERIA MAGEREZANI MKOANI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-uj4lsJovMRs/VeoDbJmUuNI/AAAAAAAH2aU/6NcoTvlVot0/s640/unnamed%2B%252813%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-ydWoDqUKjr4/VeoDbsr_vcI/AAAAAAAH2ag/NWXPm-Aepqo/s640/unnamed%2B%252814%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-FKxT5x-35Hk/U1KiOIH38RI/AAAAAAAFb1I/W08ieLjmBeE/s72-c/unnamed+(27).jpg)
WAZIRI MKUU,MH. PINDA AFUNGA MAONYESHO YA TAASISI ZA MUUNGANO
![](http://4.bp.blogspot.com/-FKxT5x-35Hk/U1KiOIH38RI/AAAAAAAFb1I/W08ieLjmBeE/s1600/unnamed+(27).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jNXOK5856h8/U-TVr-pnDCI/AAAAAAAF96k/egiG2tm5l9g/s72-c/unnamed+(73).jpg)
MH. PINDA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE KANDA YA ZIWA JIJINI MWANZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-jNXOK5856h8/U-TVr-pnDCI/AAAAAAAF96k/egiG2tm5l9g/s1600/unnamed+(73).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-691VFTxJ90U/U-TVtDO-coI/AAAAAAAF96s/JX6dIPjzVts/s1600/unnamed+(74).jpg)