PINDA AFUNGA WIKI YA MAJI
![](http://1.bp.blogspot.com/-WZdortxECeQ/Uy2WtoupjbI/AAAAAAAFVmE/Tuvl8xEy3tQ/s72-c/unnamed+(17).jpg)
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizindua mradi wa maji wa Mkonze katika Maanispaa ya Dodoma katika kilele cha wiki ya maji leo Machi 22, 2014. Kushoto kwake ni Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe na kulia kwake ni Mwakilishi Mkazi wa Benki ya Dunia Tanzania, Rwanda, Uganda na Burundi Bw. Philippe Dongier
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiweka jiwe lamsingi la mradi wa maji wa tangi la maji la Chuo Kikuu cha Dodoma ikiwa ni moja ya shughuli za kilele cha wiki ya maji
Waziri Mkuu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-h9NR2XUfz2k/VQ7939lNIzI/AAAAAAAHMQo/yHXhw2qQIBY/s72-c/unnamed%2B(82).jpg)
Dkt. Bilal afunga Maadhimisho ya Wiki ya Maji Kitaifa mjini Musoma leo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-W1k4MJH2WZA/XmoglY1UcXI/AAAAAAALivA/00b2PAyKvyQoA1fODI77njBqSR82TUU0ACLcBGAsYHQ/s72-c/4aac1299-751c-415f-95fc-6b3099c9b322.jpg)
CHANGAMOTO ZA MAJI NA USAFI WA MAZINGIRA KUJADILIWA KWENYE MAADHIMISHO YA WIKI YA MAJI
Charles James, Michuzi TV
TANZANIA itaungana na Mataifa mengine duniani kuadhimisha wiki ya maji ambayo itaanza Machi 16 hadi 22 mwaka huu huku kauli mbiu ikiwa ni " Maji na mabadiliko ya tabia nchi, uhakika wa maji salama kwa wote".
Wiki ya maji itaenda sambamba na siku ya maji ambapo ndio itakua kilele cha maadhimisho hayo ambayo yalianza kuadhimishwa rasmi mwaka 1993 kupitia azimio na.47/193 ililofikiwa mwaka 1992 na Umoja wa Mataifa.
Akizungumza na wandishi wa habari leo jijini Dodoma,...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/KCjDqGqyYH8/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-o47iRvOhipc/UyWyybVgJdI/AAAAAAAFT9Q/va-Esq_0NvU/s72-c/unnamed+(26).jpg)
WAZIRI MAJI PROFESA JUMANNE MAGHEMBE AZINDUA RASIMI WIKI YA MAJI KITAIFA MKOANI DODOMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-o47iRvOhipc/UyWyybVgJdI/AAAAAAAFT9Q/va-Esq_0NvU/s1600/unnamed+(26).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-xqCTlf3aOnw/UyWyyWNat_I/AAAAAAAFT9c/Hy2UdoSAG5E/s1600/unnamed+(27).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-mTRv7OZEfxA/UyWyyo2_bXI/AAAAAAAFT9U/RMLZ8ssTzmg/s1600/unnamed+(28).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-pDH-jnHz_Ho/VQr53u2qXqI/AAAAAAAHLj0/O0GXxSgut8U/s72-c/Picha%2Bna%2B4.jpg)
MAADHIMISHO WIKI YA MAJI , MPIJI MAGOHE WATOA ARDHI BILA FIDIA KUPATA UMEME WA UHAKIKIA KWENYE CHANZO CHA MAJI
![](http://2.bp.blogspot.com/-pDH-jnHz_Ho/VQr53u2qXqI/AAAAAAAHLj0/O0GXxSgut8U/s1600/Picha%2Bna%2B4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-TiIEhYdjVC8/VQr53lHgT7I/AAAAAAAHLjg/fykWROwrNRU/s1600/Picha%2Bna%2B5.jpg)
10 years ago
Dewji Blog20 Mar
Maadhimisho wiki ya maji, Mpiji Magohe watoa ardhi bila fidia kupata umeme wa uhakikia kwenye chanzo cha maji
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki na Mbunge wa Ubungo Mhe. John Mnyika wakifungua maji ya bomba kwenye Zahanati ya Kijiji cha Mpiji Magohe mara baada ya kuzindua mradi wa maji katika kijiji hicho manispaa ya Kinondani jijini Dar es salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Said Meck Sadiki akizindua Tenki la kuhifadhia maji katika kijiji cha Mpiji Magohe, manispaa ya Kinondoni jijini Dar es salaam leo wakati wa mwendelezo wa maadhimisho ya Wiki ya Maji yanayoendelea...