TASAF yatunukiwa tuzo Afrika Mashariki
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umetunukiwa tuzo ya uzingatiaji wa taratibu na kanuni za manunuzi kwa kipindi cha mwaka 2013/14 baada ya kuibuka mshindi miongoni mwa taasisi za serikali na mashirika ya umma kwa manunuzi bora.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Machumu mshindi tuzo uongozi Afrika Mashariki
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
TBL washindi wa jumla tuzo za RECP Afrika Mashariki
![01](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/0112.jpg)
Waziri wa Nchi wa Mazingira wa Uganda, Flavia Namugere (katikati) akiwakabidhi tuzo ya ushindi wa jumla ya RECP Afrika Mashariki ya usimamizi bora wa matumizi ya maji na nishati kwa Mhandisi wa Huduma za Kiufundi wa Kiwanda cha Mwanza cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sunday Kidolezi (kushoto), na Mhandisi wa Mitambo wa kiwanda hicho, Erick Ernest ambayo kampuni hiyo ilituzwa katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Entebe, Uganda.
Tanzania Deputy Permanent Secretary for...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Sauti Soul wachukua tuzo ya utanashati Afrika Mashariki
KAMPALA, UGANDA
KUNDI la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Sol, wanazidi kujitengenezea jina baada ya juzi kufanikiwa kuchukua tuzo ya kundi bora la wasanii watanashati Afrika Mashariki.
Tuzo hizo zilitolewa Kampala, nchini Uganda, kwenye ukumbi wa Abryanz Style, ambapo tuzo hizo zilipambwa na wasanii mbalimbali kufanya shoo.
Kundi hilo kwa sasa limekuwa na jina kubwa mara baada ya kuanza kutajwa kwenye tuzo za MTV EMA mwaka 2014, MTV MAMAs na BET, hivyo tuzo hiyo ambayo wameipata...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V08ahUUEp1U/VYFNQ0dqQXI/AAAAAAAHgZ0/-ElwsDN4Uoo/s72-c/01.jpeg)
BENKI YA NBC YASHINDA TUZO YA SUPERBRAND AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-V08ahUUEp1U/VYFNQ0dqQXI/AAAAAAAHgZ0/-ElwsDN4Uoo/s640/01.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SdFF2fqviVw/VYFNQlTsn5I/AAAAAAAHgZw/dQ-2iOCdNyE/s640/02.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KAALie30jgw/VYFNQfRmrGI/AAAAAAAHgZs/jsWiz9z0O_c/s640/03..jpeg)
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APOKEA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--PHe5LdsWVc/VTpv_cXMssI/AAAAAAAHS_c/vN4axDnjy4c/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-04-24%2Bat%2B7.30.30%2BPM.png)
MASPIKA WA AFRIKA MASHARIKI WAKUTANA JIJINI DAR KUJADILI MASUALA MBALIMBALI YANAYOHUSU NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI
Maspika wa Bunge wa Afrika Mashariki wamekutana jijini Dar es Salaam ili kujadili masuala mbalimbali yanayozihusu nchi za Ukanda wa Afrika Mashariki likiwemo suala la Ugaidi pamoja na vurugu zinazotokea ,maendeleo hususan Barani Afrika.
Katika Mkutano huo wenye jina la ‘Jukwaa la Maspika wa Mabunge ya Afrika Mashariki’ulihuduliwa na Maspika wa nchi za Tanzania,Kenya,Uganda, Rwanda pamoja na Spika wa Bunge la Afrika Mashariki(EALA),Mhe.Daniel Kidega....
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-biQjZxY4b0Y/VgD05uw4wdI/AAAAAAAH6vg/Tj9KCK84vh8/s72-c/unnamed.jpg)
JK apokea Tuzo ya Utawala Bora ya Baraza la Biashara la Wana-Afrika Mashariki Waishio Marekani
![](http://3.bp.blogspot.com/-biQjZxY4b0Y/VgD05uw4wdI/AAAAAAAH6vg/Tj9KCK84vh8/s640/unnamed.jpg)
11 years ago
MichuziTASWIRA ZA MAPOKEZI YA DIAMOND BAADA YA KUSHINDA TUZO YA MSANII BORA WA KIUME AFRIKA MASHARIKI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s72-c/5.jpg)
CLOUDS FM YASHINDA TENA TUZO YA UBORA YA SUPERBRAND KWA MARA YA TATU AFRIKA MASHARIKI.
![](http://1.bp.blogspot.com/-05vzWfqUKcM/VUCgeah7rpI/AAAAAAAHT_Y/BlJxgQzDYPE/s1600/5.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-uCthXoIYQC8/VUCiHiSTPPI/AAAAAAAHT_g/ViYtsWFmkrg/s1600/_MG_0868.jpg)