Sauti Soul wachukua tuzo ya utanashati Afrika Mashariki
KAMPALA, UGANDA
KUNDI la muziki kutoka nchini Kenya, Sauti Sol, wanazidi kujitengenezea jina baada ya juzi kufanikiwa kuchukua tuzo ya kundi bora la wasanii watanashati Afrika Mashariki.
Tuzo hizo zilitolewa Kampala, nchini Uganda, kwenye ukumbi wa Abryanz Style, ambapo tuzo hizo zilipambwa na wasanii mbalimbali kufanya shoo.
Kundi hilo kwa sasa limekuwa na jina kubwa mara baada ya kuanza kutajwa kwenye tuzo za MTV EMA mwaka 2014, MTV MAMAs na BET, hivyo tuzo hiyo ambayo wameipata...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo524 Feb
Damian Soul: Ntakuwa mwanamuziki wa kwanza kutoka Afrika Mashariki kushinda tuzo ya Grammy (Audio)
10 years ago
Bongo514 Oct
Davido awa msanii pekee wa Afrika anayewania tuzo za ‘Soul Train Awards 2014’ Marekani
10 years ago
Habarileo27 Nov
TASAF yatunukiwa tuzo Afrika Mashariki
MFUKO wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) umetunukiwa tuzo ya uzingatiaji wa taratibu na kanuni za manunuzi kwa kipindi cha mwaka 2013/14 baada ya kuibuka mshindi miongoni mwa taasisi za serikali na mashirika ya umma kwa manunuzi bora.
11 years ago
Mwananchi10 Aug
Machumu mshindi tuzo uongozi Afrika Mashariki
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-V08ahUUEp1U/VYFNQ0dqQXI/AAAAAAAHgZ0/-ElwsDN4Uoo/s72-c/01.jpeg)
BENKI YA NBC YASHINDA TUZO YA SUPERBRAND AFRIKA MASHARIKI
![](http://3.bp.blogspot.com/-V08ahUUEp1U/VYFNQ0dqQXI/AAAAAAAHgZ0/-ElwsDN4Uoo/s640/01.jpeg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-SdFF2fqviVw/VYFNQlTsn5I/AAAAAAAHgZw/dQ-2iOCdNyE/s640/02.jpeg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-KAALie30jgw/VYFNQfRmrGI/AAAAAAAHgZs/jsWiz9z0O_c/s640/03..jpeg)
11 years ago
Dewji Blog30 Jun
TBL washindi wa jumla tuzo za RECP Afrika Mashariki
![01](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/06/0112.jpg)
Waziri wa Nchi wa Mazingira wa Uganda, Flavia Namugere (katikati) akiwakabidhi tuzo ya ushindi wa jumla ya RECP Afrika Mashariki ya usimamizi bora wa matumizi ya maji na nishati kwa Mhandisi wa Huduma za Kiufundi wa Kiwanda cha Mwanza cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Sunday Kidolezi (kushoto), na Mhandisi wa Mitambo wa kiwanda hicho, Erick Ernest ambayo kampuni hiyo ilituzwa katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Entebe, Uganda.
Tanzania Deputy Permanent Secretary for...
9 years ago
MichuziRAIS KIKWETE APOKEA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA MASHARIKI