STEVE NYERERE ATAKA KUIGWA TABIA
![](http://api.ning.com:80/files/nkvdZEQNy6wmiaKiPArpEAADlBYWVWK5KPI5qbuB53MrT2E4fSVHPC5Aj0qI1lLvKawRJ3rYI07b1LMg3yYpxq4e2JH6wqPQ/steven.jpg?width=650)
MWENYEKITI wa Klabu ya Bongo Movie Unity, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefunguka kuwa anajitahidi sana kuonyesha maadili mema ili kuhakikisha wanachama wake wote wanamuiga. Steven Mengere ‘Steve Nyerere’. Akistorisha na paparazi wetu juzikati, Steve alisema kuna mambo mengi ambayo alikuwa akiyafanya kabla ya kuwa rais wa klabu hiyo lakini sasa anajiepusha nayo ili kuhakikisha anajenga picha nzuri na...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-jh5hwgfHmCc/Uu6m3jQx-bI/AAAAAAAFKdk/Gm2AOFkRAOY/s72-c/9.+Rais+Kikwete+akihutubia+maelfu+ya+watu+katika+Uwanja+wa+Kumbukumbu+ya+Sokoine+mjini+Mbeya.jpg)
RAIS JAKAYA KIKWETE AGUSWA NA UTENDAJI KAZI WA KINANA, ATAKA AWE MFANO WA KUIGWA
![](http://2.bp.blogspot.com/-jh5hwgfHmCc/Uu6m3jQx-bI/AAAAAAAFKdk/Gm2AOFkRAOY/s1600/9.+Rais+Kikwete+akihutubia+maelfu+ya+watu+katika+Uwanja+wa+Kumbukumbu+ya+Sokoine+mjini+Mbeya.jpg)
Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete leo amevunja ukimya na kuzungumzia suala la mawaziri waliotuhumiwa na wananchi kuwa mizigo wakati wa ziara za Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na baadhi ya wajumbe wa sekretarieti katika mikoa kadhaa nchini mwishoni mwa mwaka jana.
"Najua wapo baadhi ya watanzania, walitaka Mawaziri waliotajwa kuwa ni mizigo wafukuzwe kazi, na kwa vile halikufanyika basi suala hilo...
11 years ago
Tanzania Daima09 Feb
Steve Nyerere: Wamenikomoa
MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amesema anaumizwa na baadhi ya wasanii ambao hawampi ushirikiano licha ya kumpa kura nyingi siku ya uchaguzi, akisema yaonekana walifanya hivyo ili...
11 years ago
Tanzania Daima17 Jul
Steve Nyerere: Mimi si shoga
MWENYEKITI wa Bongo Movie, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’, amekerwa na alichosema uzushi dhidi yake kwamba ni shoga. Kupitia ukurasa wake wa facebook, msanii huyo alisema anachukizwa na kasumba ya baadhi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/OyRBKp4pk3RkELY1eQCtg0vgVnAVbxN7qhC0PKBUjUKgj3FFg8AmlVpBndSOKflooCwUI-9PqRW6MsecV69KZP33I65EwWDs/steven.jpg?width=550)
STEVE NYERERE AKOMBWA IPAD
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-j31ozEYYytU/VZEErgnwL0I/AAAAAAAHlhs/iscjbxdxwxY/s72-c/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
steve nyerere atangaza nia
![](http://4.bp.blogspot.com/-j31ozEYYytU/VZEErgnwL0I/AAAAAAAHlhs/iscjbxdxwxY/s640/unnamed%2B%252812%2529.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rYXJV*jyRSkVT8NUzNmEnwoMieUIWix-ZckMbASZXUs4tLQjrZ5Noqi8bm5eZlgr96ju2xbGMRP0mDdvrDYGzU1SQRAKYyYS/steve.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AFUNGUKIA MADAI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi*Z*kg7xKE*0aFTNVMfLLJyYoYDDsxp2XC9QLFutwjST06qAo*jR7xyAFADoLpuByf57x5180Ntw9oxeyaH-njn/steven.jpg)
STEVE NYERERE AAIBIKA UWANJANI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5Yhq4i4w-bA0LV4BJ31rwUKTjwW0HXR1hzkf-t28qlMZJm4Gq*ZC6B13F5fKoc9AqRLvqpIAPnbfYuuZE44F47Ck/wem.jpg?width=650)
STEVE NYERERE AMUONYA WEMA
9 years ago
Bongo Movies13 Nov
Steve Nyerere Alishwa Sumu
STAA wa sinema za Kibongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kula chakula chenye sumu na kulazimika kukimbizwa katika Hospitali ya Hurbert Kairuki Memorial iliyopo Mikocheni jijini Dar, Amani linakupa ripoti kamili.
Kwa mujibu wa chanzo, Steve alifika hotelini (jina linahifadhiwa) kupata chakula cha jioni na marafiki zake ambapo baada ya kula kidogo akaanza kulalamika tumbo linamuuma.
“Baada ya kula chakula alianza kushika tumbo na kulalamika kwamba...