Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Sitta alitakiwa awajibike, siyo kulaumu

Baada ya ajali nyingi kuchukua roho za zaidi ya watu 800 katika kipindi cha miezi mitatu, na mgomo wa madereva kuathiri usafiri wa abiria wa masafa marefu nchini, hatimaye Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta juzi aliibuka na kuelezea chanzo cha tatizo hilo la ajali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lembeli: Waziri Mathayo pekee ndiye alitakiwa kuwajibishwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema ni waziri mmoja tu kati ya wanne walioondolewa mwishoni mwa mwaka jana, aliyestahili kuwajibishwa kutokana na kashfa ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Maselle awajibike kuhusu kauli zake

Tumeshtushwa na tuhuma nzito zilizotolewa bungeni hivi karibuni na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Steven Maselle dhidi ya balozi wa Uingereza nchini, Dianna Melrose.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta: Sugu siyo saizi yangu

Mwenyekiti wa lililokuwa Bunge la Katiba, Samuel Sitta amesema hakuwahi kukaa na kuuahidi upinzani serikali tatu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Maafa Tanzania, nani awajibike?

Je Jamii inashiriki vipi kuepuka maafa nchini Tanzania?

 

10 years ago

GPL

AUNT: MIMBA YANGU SIYO YA WAZIRI!

Mkali wa sinema za Kibongo, Aunt Ezekiel Grayson amevunja ukimya na kupinga vikali tetesi za ujauzito wake kuhusishwa na mmoja wa mawaziri wa Rais Jakaya Mrisho Kikwete akibainisha kuwa jambo hilo linautesa moyo wake. Mkali katika tasnia ya filamu Bongo, Aunt Ezekiel. Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni jijini Dar, Aunt alifunguka kwamba, mbali na kumzushia juu ya ujauzito huo, kuwa mara ya kwanza watu asiowajua walieneza...

 

10 years ago

Mwananchi

Jiulize kwanza umefanya nini kabla ya kulaumu

Natumaini ndugu zangu wa darasa huru ni wazima wa afya. Kama ni hivyo basi naomba wote tumshukuru Mungu kwa baraka zake kwetu kwani kuna wengi waliopenda hata kufungua kinywa na kutoa salamu siku hii ya leo lakini wameshindwa. Tuwaombee wapate nafuu ili waweze kuwa na afya njema tena.

 

11 years ago

Habarileo

MNEC CCM ataka tabia ya kulaumu iachwe

MJUMBE wa Halmashauri Kuu (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Issa Sama amewashauri viongozi wa Chama na Serikali mkoani Kagera kuacha tabia ya kulaumu watendaji kuwa wameshindwa kazi yao wakati wao wenyewe hawapiti na kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa kupitia ilani ya uchaguzi ya chama hicho tawala.

 

10 years ago

Mwananchi

Kauli ya ‘Zanzibar siyo nchi’ yamponza Waziri Mkuu Pinda

Madai ya Waziri Mkuu, Mizengo Pinda kuingia katika kinyang’anyiro cha urais yameibua mjadala mkali kutoka kwa baadhi ya wanasiasa, wasomi na wananchi wa Zanzibar ambao wamesema hafai kutokana na kauli yake kuwa ‘Zanzibar si nchi’.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Sitta: Mungu ndiye atakayenipigania

>Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema changamoto zote alizokutana nazo kabla na wakati wa Bunge Maalumu la Katiba anamuachia Mungu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani