Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lembeli: Waziri Mathayo pekee ndiye alitakiwa kuwajibishwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema ni waziri mmoja tu kati ya wanne walioondolewa mwishoni mwa mwaka jana, aliyestahili kuwajibishwa kutokana na kashfa ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye Operesheni Tokomeza Ujangili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waziri Sitta alitakiwa awajibike, siyo kulaumu

Baada ya ajali nyingi kuchukua roho za zaidi ya watu 800 katika kipindi cha miezi mitatu, na mgomo wa madereva kuathiri usafiri wa abiria wa masafa marefu nchini, hatimaye Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta juzi aliibuka na kuelezea chanzo cha tatizo hilo la ajali.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Nyalandu akana kutofautiana na Lembeli

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili ma Utalii Lazaro Nyalandu, juzi alikutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili, James Lembeli jijini Mwanza na kutoa tamko la kupambana na ujangili nchini.

 

10 years ago

Vijimambo

KAMATI YA LEMBELI YAMPA MIEZI MITATU WAZIRI MWENYE DHAMANA YA MAZINGIRA KUIBANA MIGODI

 Baadhi ya waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari wakiwa katika ziara ya kutembelea migodi ya dhahabu na kamati ya mazingira ,ardhi nyumba na maendeleo katika mgodi wa buzwagi . Mmoja wa watalamu  wa kigeni akiwakaribisha baadhi ya wana habari katika ziara ya kamati ya mazingira .
 kamati ya Bunge Ardhi maliasili na mazingira wakiwasili katika mgodi wa buzwagi wilayani kahama . Mwenyekiti wa kamati ya Ardhi maliasili na mazingira mh  James Lembeli.
Baadhi ya wajumbe wa kamati ya bunge ya...

 

11 years ago

Dewji Blog

Dk. Harrison Mwakyembe ni Waziri pekee kufanya ziara ya kikazi TCCA

01

Waziri wa Uchukuzi  Dk. Harrison Mwakyembe akisaini kitabu cha wageni wakati alipofanya  ziara ya kikazi katika Makao Makuu ya Ofisi  ya Mamaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA)jijini Dar es Salaam, kwa lengo la kuongea na wanafanyakazi na kuzindua bodi ya Wakurugenzi  ya TCAA.Wapili kutoka kulia ni Mwenyekiti wa bodi hiyo Mbwana Mbwana.Kulia ni makamu Mwenyekiti Weggoro Nyamajeje na Kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa  Mamlaka ya TCAA , Charles Chacha. Waziri Dk. Harrison Mwakyembe ndiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Sitta: Mungu ndiye atakayenipigania

>Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema changamoto zote alizokutana nazo kabla na wakati wa Bunge Maalumu la Katiba anamuachia Mungu.

 

10 years ago

GPL

HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea kwa zaidi ya miezi sita huku mtoto wa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Tatu Ntimizi, Said Ntimizi akidaiwa kuwa mmoja kati ya watuhumiwa wa mauaji...

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA

Rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA ,fedha zilizozua utata

 

9 years ago

Mwananchi

Kesi ya kumpinga Dk Mathayo ‘ngoma nzito’

Jaji Mfawidhi wa Mahakama Kuu Kanda ya Moshi, Aishiel Sumari ameombwa kumwelekeza naibu msajili wa mahakama hiyo kusajili kesi ya kupinga ushindi wa Dk David Mathayo wa CCM.

 

9 years ago

BBCSwahili

Kifo cha Mathayo Hobden kuchunguzwa.

Kifo cha mchezaji kriketi Sussex Mathayo Hobden aliyekuwa na umri wa miaka 22 kinachunguzwa na jeshi la polisi nchini scotland.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani