Waziri Nyalandu akana kutofautiana na Lembeli
Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili ma Utalii Lazaro Nyalandu, juzi alikutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili, James Lembeli jijini Mwanza na kutoa tamko la kupambana na ujangili nchini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima13 Jan
Nyalandu: Ripoti ya Lembeli uongo mtupu
NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameilalamikia Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili iliyoongozwa na James Lembeli kuwa taarifa iliyowasilisha bungeni na kuwang’oa mawaziri wanne ilikuwa...
10 years ago
IPPmedia28 Feb
Nyalandu at loggerheads with Lembeli over hotel fees.
IPPmedia
IPPmedia
A parliamentary committee has declared it will take to task the Minister for Tourism and Natural Resources Lazaro Nyalandu over failure to sign Government Notice (GN) on the new fee rates for hotels in the national parks as directed by the Parliament.
10 years ago
GPL
WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN
Mh. Waziri Nyalandu akihojiwa katika banda la Tanzania na mwandishi wa habari wa kituo cha Televisheni cha Check inn cha Qatar Bw. Tajamul Hussain kuhusu utalii wa Tanzania kwa ujumla. MKurugenzi wa kampuni ya usafirishaji watalii ya Zara tours…
10 years ago
Michuzi.jpg)
WAZIRI NYALANDU AKUTANA NA WAZIRI MWENZAKE WA UTALII WA KENYA KWENYE MAONESHO YA ITB BERLIN
Na Geofrey Tengeneza – Berlin Ujerumani Waziri wa Maliasili na Utalii Mh. Lazaro Nyalandu amekutana na waziri mwenzake wa Biashara na Utalii wa Kenya Bibi Phylis Kandie katika banda la Kenya na kuwa na mazungumzo yanayohusu ushirikiano wa nchi mbili katika sekta ya Utalii. Mazungumzo hayo hayakuwa rasmi hivyo hayakuhudhuriwa na wandishi wa habari Aidha Wiziri Nyalandu alitembelea banda la Tanzania na kuzungumza na washiriki wa maonesho ya ITB kutoka makampuni mbalimbali washiriki hao kwa...
11 years ago
Mwananchi07 Oct
Lembeli: Waziri Mathayo pekee ndiye alitakiwa kuwajibishwa
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema ni waziri mmoja tu kati ya wanne walioondolewa mwishoni mwa mwaka jana, aliyestahili kuwajibishwa kutokana na kashfa ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye Operesheni Tokomeza Ujangili.
11 years ago
Mwananchi30 Oct
Waziri Mkuya akana wahisani kusitisha misaada
Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema kuwa hakuna mshirika yeyote wa kimataifa aliyesitisha kutoa msaada katika bajeti kuu ya Serikali.
9 years ago
Michuzi
WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII PFOF. JUMANNE MAGHEMBE AKABIDHIWA RASMI OFISI LEO NA ALIYEKUWA WAZIRI WA WIZARA HIYO LAZARO NYALANDU


10 years ago
VijimamboKAMATI YA LEMBELI YAMPA MIEZI MITATU WAZIRI MWENYE DHAMANA YA MAZINGIRA KUIBANA MIGODI
11 years ago
Vijimambo
MTOTO WA NAIBU WAZIRI WA ZAMANI WA AFYA JONAS NKYA AKANA TUHUMA ZA KURUSHIANA RISASI NA MAMA YAKE

Jonas Nkya mtoto wa Naibu Waziri wa zamani wa Afya na Mbunge wa Morogoro kusini masgariki Lucy Nkya amewaambia waandishi wa habari kwamba habari zilizozagaa kwenye mitandao ya kijami kwamba amerushiana risasi za moto na mama yake mzazi ofisini kwao leo mkoani Morogoro.
Jonas Nkya amesema kilichotokea alipokwenda ofisini hapo kuchukua gari alielekee shamba bastola ilidondoka chini na ikajifyatua risasi moja na kuzua taharuki kwa watu. Kwanza...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
08-May-2025 in Tanzania