Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Mkuya akana wahisani kusitisha misaada

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema kuwa hakuna mshirika yeyote wa kimataifa aliyesitisha kutoa msaada katika bajeti kuu ya Serikali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Uhuru Newspaper

Wahisani waanza kumwaga misaada



Wakunwa na hatua dhidi ya vigogo Escrow
NA MUSSA YUSUPH
NCHI na mashirika wahisani wameanza mchakato wa kutoa fedha za msaada wa bajeti walizozizuia, kutokana na sakata la uchotwaji wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, baada ya kuridhika na hatua zilizochukuliwa dhidi ya wahusika.
Fedha zitakazotolewa ni sh. bilioni 922, ambazo ni sehemu ya asilimia tano zitakazotumika kusaidia bajeti, ambapo kabla ya kuzuliwa, asilimia 20 ya fedha hizo, zilikuwa zimekwishatolewa kwa serikali.
Akizungumza...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania waaswa kutumia vizuri misaada ya wahisani kujikwamua kiuchumi

TASAF yasema Jamii nyingi za kitanzania zitaweza kujikwamua na umasikini kwa kutumia ipasavyo misaada wanayoipata kutoka kwa wahisani na hata mashirika ya kiserikali na yasiyo ya kiserikali kubuni miradi mbalimbali itakayowasaidia kukuza vipato vyao.

Ni katika mpango wa TASAF wilayani Monduli mkoani Arusha wa kulipa kaya masikini katika maeneo mbalimbali nchini ili iweze kuleta tija katika jamii.

baadhi ya wananchi wa wilaya ya monduli katika kijiji cha mlimani  waliopata fursa ya kupata ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Waziri Pinda azishangaa nchi wahisani

PG4A9702

Na Mwandishi wetu, Dodoma

Waziri Mkuu Mizengo Pinda (pichani), amesema kuwa amesononeshwa na uamuzi wa wahisani kuikatia Serikali misaada ya sh trilioni moja kutokana na kashfa ya IPTL.

Pinda, alisema Serikali iko tayari kuwawajibisha watu wawili au zaidi watakaotajwa kuhusika kwenye kashfa ya kuchota fedha kwenye Akaunti Maalum ya Tegeta Escrow, zaidi ya sh bilioni 200, zilizohifadhiwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), lakini hakubaliani na uamuzi wa kukata misaada, kwani unaathiri watu wengi...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya ajikanganya

Dar es Salaam. Ndani ya saa 24, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya ametoa kauli mbili zinazokinzana kuhusu fedha za Uchaguzi Mkuu baada ya juzi kuliambia gazeti hili kuwa fedha kwa ajili ya shughuli hiyo zilikwishatengwa mwaka jana, lakini jana akaziweka kwenye mapendekezo ya bajeti mpya.

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya: Tunakopesheka

Licha ya deni la taifa kuongezeka na kufikia Sh27 trilioni mwaka jana, Serikali imesema bado ina sifa za kuendelea kukopa kutokana na mapato ya ndani kuwa madogo.

 

10 years ago

Habarileo

Waziri Mkuya lawamani ‘kuzima’ umeme wa upepo

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya juzi ameonja joto ya jiwe kutoka kwa wabunge kutuhumiwa ‘kuuzima’ utekelezaji wa mradi wa umeme wa upepo wa Singida unaogharimu Dola za Marekani milioni 133 sawa na Sh bilioni 266.

 

9 years ago

Vijimambo

Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni

Mgombea ubunge jimbo la Welezo, Waziri wa Fedha , Bi Saada mkuya akimwaga sera katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni jimboni. mkutana ulifanyika jana uwanja wa KimaraMeza kuu ikimsikiliza kwa makini mgombea Ubunge wa jimbo la Weleze Bi Saada Mkuya(hayupo pichani) akijinadi na kumwaga sera. Mkutano huu pia ulihudhuriwa na mgombea uwakilishi wa jimbo hilo la Welezo, Hassan Hafidh (wa pili kulia waliokaa)Wanachama na wapenzi wa CCM kutoka jimbo la Welezo waliohudhuria uzinduzi wa Kampeni ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mkuya ahimiza uadilifu kwa wafanyakazi

WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amewataka wafanyakazi wa wizara yake kujiepusha na vishawishi mbalimbali vitakavyochangia kutoa rushwa au kupokea. Alitoa tahadhari hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati wa ufunguzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya: Utegemezi unakwamisha miradi mingi

>Masharti ya wahisani na utegemezi wa fedha za wahisani ni mambo ambayo kwa kiasi kikubwa yanakwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani