Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Mkuya ajikanganya

Dar es Salaam. Ndani ya saa 24, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya ametoa kauli mbili zinazokinzana kuhusu fedha za Uchaguzi Mkuu baada ya juzi kuliambia gazeti hili kuwa fedha kwa ajili ya shughuli hiyo zilikwishatengwa mwaka jana, lakini jana akaziweka kwenye mapendekezo ya bajeti mpya.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya: Tunakopesheka

Licha ya deni la taifa kuongezeka na kufikia Sh27 trilioni mwaka jana, Serikali imesema bado ina sifa za kuendelea kukopa kutokana na mapato ya ndani kuwa madogo.

 

9 years ago

Vijimambo

Waziri wa fedha , Bi Saada Mkuya azindua kampeni

Mgombea ubunge jimbo la Welezo, Waziri wa Fedha , Bi Saada mkuya akimwaga sera katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni jimboni. mkutana ulifanyika jana uwanja wa KimaraMeza kuu ikimsikiliza kwa makini mgombea Ubunge wa jimbo la Weleze Bi Saada Mkuya(hayupo pichani) akijinadi na kumwaga sera. Mkutano huu pia ulihudhuriwa na mgombea uwakilishi wa jimbo hilo la Welezo, Hassan Hafidh (wa pili kulia waliokaa)Wanachama na wapenzi wa CCM kutoka jimbo la Welezo waliohudhuria uzinduzi wa Kampeni ya...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri Mkuya lawamani ‘kuzima’ umeme wa upepo

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya Salum.WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya juzi ameonja joto ya jiwe kutoka kwa wabunge kutuhumiwa ‘kuuzima’ utekelezaji wa mradi wa umeme wa upepo wa Singida unaogharimu Dola za Marekani milioni 133 sawa na Sh bilioni 266.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mkuya ahimiza uadilifu kwa wafanyakazi

WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amewataka wafanyakazi wa wizara yake kujiepusha na vishawishi mbalimbali vitakavyochangia kutoa rushwa au kupokea. Alitoa tahadhari hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati wa ufunguzi...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri Mkuya aonya ongezeko pato la taifa

Mizengo PindaWAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amezindua usambazaji wa takwimu zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio (hesabu) wa 2007 na kueleza kuwa pato la taifa kwa mwaka lilikuwa kwa Sh trilioni 26.8 ukilinganishwa na Sh trilioni 20.9 za mwaka 2001.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mkuya aitaka NMB kupunguza riba

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, ameuomba uongozi wa Benki ya NMB kuangalia jinsi ya kuwainua watanzania kwa kupunguza viwango vya riba. Mkuya aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya: Utegemezi unakwamisha miradi mingi

>Masharti ya wahisani na utegemezi wa fedha za wahisani ni mambo ambayo kwa kiasi kikubwa yanakwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya akana wahisani kusitisha misaada

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema kuwa hakuna mshirika yeyote wa kimataifa aliyesitisha kutoa msaada katika bajeti kuu ya Serikali.

 

10 years ago

Michuzi

WAZIRI MKUYA AMALIZA ZIARA YAKE NCHINI MAREKANI

Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya akiwa pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa CITI na Mkuu wa Afrika kwa kundi la sekta ya utumishiwa umma Bw. Peter M. Sullivan alipo mtembelea Mhe.Waziri kwa madhumuni ya kuisadia nchi ya Tanzania katika ubalozi wa Marekani mjini Washington DC. Waziri wa Fedha Mhe. Saada Salum Mkuya wa katikati akiwa pamoja na ujumbe kutoka Tanzania walipokutana na Mkurugenzi msaidizi na Mkuu wa idara ya Afrika sehemu ya Mashariki Bw.Herve’ Joly walipokuwa wakijadiliana na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani