Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Mkuya: Utegemezi unakwamisha miradi mingi

>Masharti ya wahisani na utegemezi wa fedha za wahisani ni mambo ambayo kwa kiasi kikubwa yanakwamisha utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maendeleo hapa nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sumaye: Miradi mingi mibovu ni pasenti za wakubwa

>Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye jana aliamua kutoa ya moyoni wakati alipobainisha kuwa kujengwa kwa kiwango cha chini kwa miradi mingi, kunatokana na wakubwa kupewa ‘pasenti’ za rushwa na kampuni zinazoshinda zabuni hizo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Miradi mingi yakwamisha kilimo cha umwagiliaji

SERIKALI imesema kuanzishwa kwa miradi mingi na Halmashauri kumesababisha kutokamilika kwa miradi ya kilimo cha umwagiliaji. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana Naibu Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfery Zambi,...

 

5 years ago

Michuzi

NABII JOSHUA AIPONGEZA SERIKALI KWA KUFANIKISHA MIRADI MINGI YA MAENDELEO



 Muonekano wa Soko Kuu la Morogoro ambalo limejengwa kisasa. (Picha na Sauti ya Uponyaji)Kiongozi Mkuu wa Huduma ya Sauti ya Uponyaji Tanzania, Nabii Joshua Aram Mwantyala (kushoto) akimpongeza Mhandisi wa Manispaa ya Morogoro,Juma Ngwisu kwa kazi nzuri ya usimamizi wa Soko Kuu la Morogoro na miradi mingine. (Picha na Sauti ya Uponyaji).

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya: Tunakopesheka

Licha ya deni la taifa kuongezeka na kufikia Sh27 trilioni mwaka jana, Serikali imesema bado ina sifa za kuendelea kukopa kutokana na mapato ya ndani kuwa madogo.

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya ajikanganya

Dar es Salaam. Ndani ya saa 24, Waziri wa Fedha, Saada Mkuya ametoa kauli mbili zinazokinzana kuhusu fedha za Uchaguzi Mkuu baada ya juzi kuliambia gazeti hili kuwa fedha kwa ajili ya shughuli hiyo zilikwishatengwa mwaka jana, lakini jana akaziweka kwenye mapendekezo ya bajeti mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mkuya aitaka NMB kupunguza riba

WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Saada Mkuya, ameuomba uongozi wa Benki ya NMB kuangalia jinsi ya kuwainua watanzania kwa kupunguza viwango vya riba. Mkuya aliyasema hayo mwishoni mwa wiki katika...

 

10 years ago

Habarileo

Waziri Mkuya aonya ongezeko pato la taifa

Mizengo PindaWAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya amezindua usambazaji wa takwimu zilizorekebishwa kwa mwaka wa kizio (hesabu) wa 2007 na kueleza kuwa pato la taifa kwa mwaka lilikuwa kwa Sh trilioni 26.8 ukilinganishwa na Sh trilioni 20.9 za mwaka 2001.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Waziri Mkuya ahimiza uadilifu kwa wafanyakazi

WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya, amewataka wafanyakazi wa wizara yake kujiepusha na vishawishi mbalimbali vitakavyochangia kutoa rushwa au kupokea. Alitoa tahadhari hiyo jijini Dar es Salaam jana wakati wa ufunguzi...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri Mkuya akana wahisani kusitisha misaada

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema kuwa hakuna mshirika yeyote wa kimataifa aliyesitisha kutoa msaada katika bajeti kuu ya Serikali.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani