Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nyalandu: Ripoti ya Lembeli uongo mtupu

NAIBU Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, ameilalamikia Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili iliyoongozwa na James Lembeli kuwa taarifa iliyowasilisha bungeni na kuwang’oa mawaziri wanne ilikuwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwandishi wa Daily Mail kamuacha Nyalandu mtupu

MWANDISHI Martin Fletcher Februari 8 na 9 mwaka huu aliishambulia serikali yetu kwamba haijachukua hatua ya kupambana na ujangili unaotishia kumaliza tembo na faru, huku akienda mbali zaidi kwa kuwahusisha...

 

11 years ago

Mwananchi

Waziri Nyalandu akana kutofautiana na Lembeli

Aliyekuwa Naibu Waziri wa Maliasili ma Utalii Lazaro Nyalandu, juzi alikutana na Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Mazingira na Maliasili, James Lembeli jijini Mwanza na kutoa tamko la kupambana na ujangili nchini.

 

10 years ago

IPPmedia

Nyalandu at loggerheads with Lembeli over hotel fees.


IPPmedia
Nyalandu at loggerheads with Lembeli over hotel fees.
IPPmedia
A parliamentary committee has declared it will take to task the Minister for Tourism and Natural Resources Lazaro Nyalandu over failure to sign Government Notice (GN) on the new fee rates for hotels in the national parks as directed by the Parliament.

 

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania tupuuze habari za Uongo, uzushi, Ukipata ujumbe wa chuki, matusi au uongo, FUTA DELETE KABISA!

1005224_161118974079176_1902408761_n

Na Andrew Chale wa Mo dewji blog

Wasomaji wa Mo dewji blog mnaoendelea kuperuzi mtandao huu bila shaka ni wazima wa afya, tunashukuru uwepo wenu na kutembelea kwenu kwenye mtandao huu ndio faraja kwetu sote sie tunaowapasha habari na kwenu mnaopokea habari, tupo pamoja.

Tahariri ya leo Machi 10,  Tunazungumzia namna ya jinsi Tanzania tunavyopiga hatua moja hadi nyingine hasa katika masuala ya TEKOHAMA/ICT.. Hasa kupitia mitandao yaani Intaneti.

Hata hivyo licha ya kuwa huru kwa kila mmoja...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kashfa IPTL utata mtupu

WAKATI Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), akitamba kuendelea kupiga kelele hadi fedha zilizochotwa kwenye Akaunti ya Escrow zirudishwe, suala hilo linazidi kugubikwa na utata, Tanzania Daima Jumatano limebaini....

 

10 years ago

GPL

DIAMOND, KIBA UCHAWI MTUPU!

Na Waandishi Wetu
HALI inazidi kuwa mbaya kwa mastaa wawili wa muziki wa Bongo Fleva wanaogombea unyota kimuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Saleh Kiba, safari hii yameibuka mapya kwa kila msanii kuogopa kumshika mkono mwenzake kutokana na imani za kishirikina. Mashabiki wa Mbongofleva Ali kiba waliionyesha kumkubali zaidi kuliko, 'Daimond… ...

 

11 years ago

GPL

GARI LA GURUMO UTATA MTUPU

AMA kweli asiyekuwepo na lake halipo! Lile gari la aliyekuwa mwanamuziki mkongwe wa muziki wa dansi aliyefariki dunia hivi karibuni, Muhidin ‘Maalim’ Gurumo alilopewa na nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, limeibua utata mtupu ndani ya familia ya marehemu huyo baada ya kubainika kwamba kumbe hakupewa kadi yake. Gari aina ya Toyota FunCargo iliyosababisha hali ya sintofahamu kwenye familia ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mtoto aliyepotea akutwa mtupu

MTOTO Lusia Moga (2) aliyepotea katika mazingira ya kutatanisha Julai 8, mwaka huu kati Kijiji cha Bukore wilayani Bunda, Mara amekutwa akiwa mtupu nyumbani kwa Magembe Nyabu, mkazi wa kijiji...

 

10 years ago

GPL

BMW LA WEMA UTATA MTUPU

Stori: Waandishi Wetu
Achana na lile gari aina ya Nissan Murano alilozawadiwa na mwandani wake, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, gari lingine aina ya BMW 545i aliloletewa Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ kwenye pati ya ‘bethidei’ yake ni utata mtupu na maswali kibao. Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akiwa ndani ya Gari aina ya BMW 545i alilozawadiwa na meneja wake. ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani