Waziri Sitta: Mungu ndiye atakayenipigania
>Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema changamoto zote alizokutana nazo kabla na wakati wa Bunge Maalumu la Katiba anamuachia Mungu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PK*T0Qu9MIpwV3sT5tmsIAsUu4QWX3XYq1HCBMbZ8nv0qtpPJNSQORHo25eUfLJrgyf0tr2DQ5UafVR5Fl*5XDY/10.jpg?width=650)
MR NICE; MUNGU NDIYE ANAKUPANGIA MABAYA?
Mwanamuziki Nice Lucas Mkenda 'Mr Nice'. MMOJA wa wasanii waliopata kutamba sana katika muziki wa kizazi kipya ni Nice Lucas Mkenda , maarufu sana mitaani kama Mr Nice. Huyu, kwa wasiomfahamu ni miongoni mwa nyota wa mwanzo mwanzo kabisa wa Bongo Fleva kupata shoo nyingi, ndani na nje ya nchi miaka ile ya 2000. Jamaa siyo tu anajua kuimba, lakini zaidi alijua namna ya kulimiliki jukwaa, anaweza sana kucheza hasa ile staili ya...
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Makinda: Mungu tu ndiye anamjua rais ajaye
Spika wa Bunge, Anne Makinda amewataka wabunge kujadili ripoti ya Escrow bila kuingiza hisia za uchaguzi mkuu ujao na ushabiki wa wagombea kwa kuwa rais ajaye Mungu pekee ndiye anayemjua.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSrUD3yvGNCSY8iy499-TadipdydVnOwekTNNJ9VXfTCzdJEL1OABB4XpnVisCWx7t1FqAMfJfPvedoDXsyeEFLq/2.jpg?width=650)
ENOCK SONTONGA NDIYE MTUNZI WA WIMBO WA ‘MUNGU IBARIKI AFRIKA’
Enock Sontonga, JE, unamfahamu mtu aliyetunga sauti (melody) ya wimbo ambao leo Watanzania wanauita Wimbo wa Taifa?Huyu ni Enock Sontonga, raia wa Afrika Kusini, aliyetunga mashairi ya wimbo wa ‘Mungu Ibariki Afrika’ ambao kwa lugha moja ya Afrika Kusini unajulikana kama ‘Nkosi Sikelel’ iAfrika’. Sontonga alizaliwa mwaka 1873 na kufariki Aprili 18, 1905.Sauti ya wimbo huo imetumiwa na nchi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
SAMUEL SITTA NDIYE MWENYEKITI WA KUDUMU BUNGE LA KATIBA
Samuel John Sitta. ALIYEKUWA Spika wa Bunge la tisa, ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki,Samuel John Sitta ndiye Mwenyekiti wa Kidumu wa Bunge Maalum la Katiba baada ya kushinda kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rungwe! Mhe. Sitta ameshinda nafasi hyo hivi punde baada ya uchaguzi uliofanyika…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vZjCFErHAhyVOgECoTu2gmg5copGMdb6iqdRVq9PjZIWD-zQJueOUOKvRhJF2o-jbh6GFcySiHk5C2gBReB0bJ2VGoctxamD/FRONTUWAZI.gif?width=650)
HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI
Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea kwa zaidi ya miezi sita huku mtoto wa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Tatu Ntimizi, Said Ntimizi akidaiwa kuwa mmoja kati ya watuhumiwa wa mauaji...
10 years ago
Mwananchi07 Oct
Lembeli: Waziri Mathayo pekee ndiye alitakiwa kuwajibishwa
Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema ni waziri mmoja tu kati ya wanne walioondolewa mwishoni mwa mwaka jana, aliyestahili kuwajibishwa kutokana na kashfa ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye Operesheni Tokomeza Ujangili.
10 years ago
BBCSwahili05 Jun
Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA
Rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA ,fedha zilizozua utata
10 years ago
Mwananchi05 Mar
Wastaafu Bandari watafuta huruma ya Waziri Sitta
Wastaafu 263 wa iliyokuwa Mamlaka ya Bandari nchini (THA) wamemwomba Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kuingilia kati mgogoro wa muda mrefu wa kulipwa mafao yao ya Sh2 bilioni.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-0utie74E5r0/U3zsIldKJ9I/AAAAAAAFkRk/le9IibqvnbE/s72-c/1.jpg)
Waziri Sitta kuwasilisha Bajeti kesho Bungeni
![](http://4.bp.blogspot.com/-0utie74E5r0/U3zsIldKJ9I/AAAAAAAFkRk/le9IibqvnbE/s1600/1.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania