Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri Sitta: Mungu ndiye atakayenipigania

>Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema changamoto zote alizokutana nazo kabla na wakati wa Bunge Maalumu la Katiba anamuachia Mungu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MR NICE; MUNGU NDIYE ANAKUPANGIA MABAYA?

Mwanamuziki Nice Lucas Mkenda 'Mr Nice'. MMOJA wa wasanii waliopata kutamba sana katika muziki wa kizazi kipya ni Nice Lucas Mkenda , maarufu sana mitaani kama Mr Nice. Huyu, kwa wasiomfahamu ni miongoni mwa nyota wa mwanzo mwanzo kabisa wa Bongo Fleva kupata shoo nyingi, ndani na nje ya nchi miaka ile ya 2000. Jamaa siyo tu anajua kuimba, lakini zaidi alijua namna ya kulimiliki jukwaa, anaweza sana kucheza hasa ile staili ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Makinda: Mungu tu ndiye anamjua rais ajaye

Spika wa Bunge, Anne Makinda amewataka wabunge kujadili ripoti ya Escrow bila kuingiza hisia za uchaguzi mkuu ujao na ushabiki wa wagombea kwa kuwa rais ajaye Mungu pekee ndiye anayemjua.

 

10 years ago

GPL

ENOCK SONTONGA NDIYE MTUNZI WA WIMBO WA ‘MUNGU IBARIKI AFRIKA’

Enock Sontonga, JE, unamfahamu mtu aliyetunga sauti (melody) ya wimbo ambao leo Watanzania wanauita Wimbo wa Taifa?Huyu ni Enock Sontonga, raia wa Afrika Kusini, aliyetunga mashairi ya wimbo wa ‘Mungu Ibariki Afrika’ ambao kwa lugha moja ya Afrika Kusini unajulikana kama ‘Nkosi Sikelel’ iAfrika’.  Sontonga alizaliwa mwaka 1873 na kufariki Aprili 18, 1905.Sauti ya wimbo huo imetumiwa na nchi...

 

11 years ago

GPL

SAMUEL SITTA NDIYE MWENYEKITI WA KUDUMU BUNGE LA KATIBA

Samuel John Sitta. ALIYEKUWA Spika wa Bunge la tisa, ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki,Samuel John Sitta ndiye Mwenyekiti wa Kidumu wa Bunge Maalum la Katiba baada ya kushinda kwa kura 487 dhidi ya 69 za mpinzani wake, Hashim Rungwe! Mhe. Sitta ameshinda nafasi hyo hivi punde baada ya uchaguzi uliofanyika…

 

10 years ago

GPL

HUYU NDIYE ANAYEDAIWA KUUAWA MA MTOTO WA WAZIRI

Deogratius Mongela na Chande Abdallah
INASIKITISHA! Mmiliki wa Shule ya Msingi na Awali (International) ya Mount Zion iliyopo Bahari Beach, Dar, Annah Mizighi Mwambili, 47, (pichani) ameuawa na mwili wake kutupwa ndani ya shule yake baada ya kupotea kwa zaidi ya miezi sita huku mtoto wa aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Tatu Ntimizi, Said Ntimizi akidaiwa kuwa mmoja kati ya watuhumiwa wa mauaji...

 

10 years ago

Mwananchi

Lembeli: Waziri Mathayo pekee ndiye alitakiwa kuwajibishwa

Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Mazingira, James Lembeli amesema ni waziri mmoja tu kati ya wanne walioondolewa mwishoni mwa mwaka jana, aliyestahili kuwajibishwa kutokana na kashfa ya ukiukwaji wa haki za binadamu kwenye Operesheni Tokomeza Ujangili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waziri:Mbeki ndiye aliyetoa fedha kwa FIFA

Rais wa zamani wa Afrika kusini Thabo Mbeki ndie aliyeruhusu ulipwaji wa fedha ,dola milioni 10 kwa FIFA ,fedha zilizozua utata

 

10 years ago

Mwananchi

Wastaafu Bandari watafuta huruma ya Waziri Sitta

Wastaafu 263 wa iliyokuwa Mamlaka ya Bandari nchini (THA) wamemwomba Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta kuingilia kati mgogoro wa muda mrefu wa kulipwa mafao yao ya Sh2 bilioni.

 

11 years ago

Michuzi

Waziri Sitta kuwasilisha Bajeti kesho Bungeni

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Samuel Sitta anatarajia kuwasilisha hotuba ya bajeti ya Wizara  kwa mwaka wa Fedha 2014/2015 kesho tarehe 22 Mei, 2014, ambapo atazungumzia utekelezaji wa majukumu ya Wizara kwa mwaka wa fedha 2013/2014 na makadirio ya mpango na bajeti kwa mwaka wa fedha 2014/2015.

Hotuba hiyo itapatikana kwenye tovuti ya Wizara www.meac.go.tz na kwenye vyombo mbalimbali vya habari mara baada ya Mhe. Waziri kumaliza kuisoma Bungeni.

Tunawakaribisha wadau...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani