Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MR NICE; MUNGU NDIYE ANAKUPANGIA MABAYA?

Mwanamuziki Nice Lucas Mkenda 'Mr Nice'. MMOJA wa wasanii waliopata kutamba sana katika muziki wa kizazi kipya ni Nice Lucas Mkenda , maarufu sana mitaani kama Mr Nice. Huyu, kwa wasiomfahamu ni miongoni mwa nyota wa mwanzo mwanzo kabisa wa Bongo Fleva kupata shoo nyingi, ndani na nje ya nchi miaka ile ya 2000. Jamaa siyo tu anajua kuimba, lakini zaidi alijua namna ya kulimiliki jukwaa, anaweza sana kucheza hasa ile staili ya...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waziri Sitta: Mungu ndiye atakayenipigania

>Waziri wa Uchukuzi, Samuel Sitta amesema changamoto zote alizokutana nazo kabla na wakati wa Bunge Maalumu la Katiba anamuachia Mungu.

 

10 years ago

Mwananchi

Makinda: Mungu tu ndiye anamjua rais ajaye

Spika wa Bunge, Anne Makinda amewataka wabunge kujadili ripoti ya Escrow bila kuingiza hisia za uchaguzi mkuu ujao na ushabiki wa wagombea kwa kuwa rais ajaye Mungu pekee ndiye anayemjua.

 

10 years ago

GPL

ENOCK SONTONGA NDIYE MTUNZI WA WIMBO WA ‘MUNGU IBARIKI AFRIKA’

Enock Sontonga, JE, unamfahamu mtu aliyetunga sauti (melody) ya wimbo ambao leo Watanzania wanauita Wimbo wa Taifa?Huyu ni Enock Sontonga, raia wa Afrika Kusini, aliyetunga mashairi ya wimbo wa ‘Mungu Ibariki Afrika’ ambao kwa lugha moja ya Afrika Kusini unajulikana kama ‘Nkosi Sikelel’ iAfrika’.  Sontonga alizaliwa mwaka 1873 na kufariki Aprili 18, 1905.Sauti ya wimbo huo imetumiwa na nchi...

 

10 years ago

Vijimambo

MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO

Mpenzi wa mwanzilishi wa style ya ‘Takeu’ Lucas Mkenda aka Mr Nice, amejifungua mtoto wa kike na kupewa jina la Nicole.
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.

 

10 years ago

Bongo5

Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha

Baada ya kuachia video mpya ‘Njoo’ iliyoongozwa na director Enos Olik, Shaa amezungumzia mambo kadhaa kuhusu collabo hiyo mpya na star mkubwa wa Kenya, Redsan ikiwemo sababu za kumchagua kumshirikisha pamoja na mtu aliyemsaidia kumpata Redsan kiurahisi na kufanya nae kazi. Shaa amesema baada ya kufanya utafiti aligundua Redsan ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya ambaye […]

 

11 years ago

GPL

MUACHE MUNGU AITWE MUNGU NA KAMA HUJAFA HUJAUMBIKA‏

Elisha Bahunde akiwa chumba # 8 ghorofa ya 6 alipolazwa tangia siku ya Jumatano Feb 19, 2014 alipoletwa Maryland kwa matibabu zaidi
Elisha Bahunde au Eric akiwa hana miguu wa mkono kama picha inavyoonyesha.…

 

5 years ago

CCM Blog

KANISA HALISI LA MUNGU BABA LINAWAKARIBISHA WATU WOTE KWENYE HIJA YA CHANZO HALISI CHA MUNGU BABA, MJINI KIGOMA 26 THEBETI,1(26 APRILI,2020)

KWA NINI  HIJA MOJA HALISI IKO KIGOMA?
Sauti Mpya(2019) ambayo imetangaza kuwa Tanzania ni Taifa Baba ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo imetangaza kuwa Afrika ni Bara la Nuru ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya zile Sauti Saba ilisikika Kigoma-Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya ishara tatu mbinguni (Ufunuo 12:1-9) ilisikika Kigoma–Tanzania; Sauti Mpya ambayo ni zaidi ya Nafsi ya Moyo (Miungu tisa mitakatifu iliyofafanuliwa ndani ya Kitabu) ilisikika...

 

11 years ago

Dewji Blog

Nice Little Beliefs!

1. Once, all villagers decided to pray for rain,  On the day of prayer all the People gathered but  only one boy came with an umbrella.

securedownload

THAT’S FAITH!

 2. When you throw a baby in the air,  She laughs because she knows you will catch her.

securedownload (1)

THAT’S TRUST!

 3. Every night we go to bed, without any assurance of being  Alive the next morning but still we set the alarms to wake us up.

securedownload (2)

THAT’S HOPE!

 4. We plan big things for tomorrow in spite  Having zero knowledge of the future.

securedownload (3)

THAT’S...

 

9 years ago

GPL

A-Z MR. NICE KULISHWA SUMU

Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’. Chande Abdallah MASIKINI! Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu hali iliyosababisha akimbizwe hospitali na kulazwa. Amani lina mkanda mzima. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani