ENOCK SONTONGA NDIYE MTUNZI WA WIMBO WA ‘MUNGU IBARIKI AFRIKA’
![](http://api.ning.com:80/files/vYFBfoh8eSrUD3yvGNCSY8iy499-TadipdydVnOwekTNNJ9VXfTCzdJEL1OABB4XpnVisCWx7t1FqAMfJfPvedoDXsyeEFLq/2.jpg?width=650)
Enock Sontonga, JE, unamfahamu mtu aliyetunga sauti (melody) ya wimbo ambao leo Watanzania wanauita Wimbo wa Taifa?Huyu ni Enock Sontonga, raia wa Afrika Kusini, aliyetunga mashairi ya wimbo wa ‘Mungu Ibariki Afrika’ ambao kwa lugha moja ya Afrika Kusini unajulikana kama ‘Nkosi Sikelel’ iAfrika’. Sontonga alizaliwa mwaka 1873 na kufariki Aprili 18, 1905.Sauti ya wimbo huo imetumiwa na nchi...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM31 Mar
Dogo Aslay:Mkubwa Fella ndiye mtunzi wa ngoma ya ‘nitakupwelepweta’
Mkali kutoka kwenye bendi mahiri hapa nchini ya Yamoto Ban,Aslay Isihaka ‘Dogo Aslay’amemtaja mtunzi wa ngoma ya yenye mashairi yenye utata ambayo inafanya vyema kwenye vituo vya redio na tv ya ‘‘nitakupwelepweta’kuwa ni mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanae,Said Fella’’Mkubwa Fella’’.
Alisema kuwa ngoma hiyo siyo kwamba ujumbe wake wameimbiwa wanawake peke yao kama ambavyo watu wengi wanavyohani lakini pia wanaume watu wazima wenye tabia ya kutembea na wasichana na wavulana wenye umri...
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qnXigDolgdM/default.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/SPs2IsiC3PK*T0Qu9MIpwV3sT5tmsIAsUu4QWX3XYq1HCBMbZ8nv0qtpPJNSQORHo25eUfLJrgyf0tr2DQ5UafVR5Fl*5XDY/10.jpg?width=650)
MR NICE; MUNGU NDIYE ANAKUPANGIA MABAYA?
10 years ago
Mwananchi04 May
Waziri Sitta: Mungu ndiye atakayenipigania
10 years ago
Mwananchi27 Nov
Makinda: Mungu tu ndiye anamjua rais ajaye
11 years ago
BBCSwahili02 Dec
10 years ago
StarTV01 Dec
Brahimi ndiye mwanasoka wa BBC Afrika 2014
Mshindi wa tuzo ya mchezaji bora wa Afrika BBC mwaka huu amepatikana. Baada ya maelfu ya kura kuhesabiwa, mchezaji wa Algeria na nyota wa Porto, Yacine Brahimi ndiye mshindi wa mwaka huu.
Hapajawahi kutokea katika miaka 23 ya historia ya shindano hilo kwa mchezaji bora kutoka Algeria kuishinda, lakini Brahimi amefanikiwa kutwaa tuzo hiyo baada ya mwaka uliokuwa na mbwembwe wa 2014.
Aliingiza bao la ushindi dhidi ya mabingwa wa Hispania Barcelona, bao lengine la kisasa katika ligi ya mabingwa...
5 years ago
BBCSwahili14 Feb
Je, Mwanamuziki Burna Boy, ndiye bora zaidi Afrika?
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/BY6VWIVrp22dmOUaPrwJM1uLY7fz-rWVAE68Fydn6lJCQ8APU-HO3gOdPu8j43NuRk7hh4FvhQGW5JG1RV07uFwzTFibfc9U/enock.jpg)
ENOCK KUZINDUA ‘KIZUNGUZUNGU KIMEWAPATA’