Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Toure ndiye bora zaidi Afrika

Ashinda tuzo ya BBC ya mwanasoka mahiri Afrika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Je, Mwanamuziki Burna Boy, ndiye bora zaidi Afrika?

Mwanamuziki Burna Boy amezua gumzo kwenye mitandao ya kijamii hasa nchini Nigeria baada ya kuandika kwenye ukurasa wake wa twitter kwamba yeye ndiye mwanamziki bora Zaidi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Toure ashinda tuzo ya BBC ya mwanasoka bora Afrika

Yaya Toure ametangazwa mshindi wa Tuzo ya BBC ya Mwanasoka Bora wa Afrika wa Mwaka 2015, katika mwaka ambao alianza kwa kuongoza Ivory Coast kutwaa ubingwa Afrika.

 

9 years ago

Bongo5

Yaya Toure atajwa tena kuwania tuzo ya mchezaji bora wa Afrika

151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit

Yaya Toure, ametajwa tena miongoni mwa wachezaji watatu bora kuwania taji la mwana soka bora mwaka huu na shirikisho la soka barani Afrika (CAF).

151211161158_yaya_toure_624x351_bbc_nocredit

Tuzo hii huwajumuisha wachezaji wa Afrika wanaocheza soka ng’ambo.

151114103628_andre_ayew_640x360_getty
Andre ‘Dede’ Ayew kutoka Ghana

Nyota huyo wa Manchester City kwa mara nyengine atakuwa akipigania taji hilo dhidi ya mshambulizi wa Black Stars ya Ghana na Swansea Andre ‘Dede’ Ayew na Pierre-Emerick Aubameyang wa Gabon na Borussia Dortmund.

24CC6CFA00000578-0-image-a-19_1421529621191
Pierre Emerick Aubameyang kutoka...

 

10 years ago

GPL

YAYA TOURE ATWAA TUZO YA MCHEZAJI BORA AFRIKA MARA 4 MFULULIZO

Yaya Toure. KIUNGO wa Manchester City, Yaya Toure amekuwa mchezaji wa kwanza kushinda tuzo ya CAF ya Mchezaji Bora wa Afrika kwa mara ya nne mfululizo. Toure, 31, alitajwa kuwania tuzo hiyo baada ya kutoa mchango mkubwa kwa Manchester City kushinda Ligi Kuu ya England na kunyakua Kombe la Ligi. Pia aliisaidia Ivory Coast kufuzu kucheza Kombe la Mataifa ya Afrika 2015.
Toure alipambana na mshambuliaji kutoka Gabon...

 

11 years ago

BBCSwahili

Nani mwanasoka bora zaidi Afrika?

Yaya Toure na Didier Drogba, na John Obi Mikel wa Nigeria leo watajua nani kati yao atatwaa tuzo la mchezaji bora wa kandanda barani Afrika

 

10 years ago

Bongo5

Shaa asema amefanya Collabo na Redsan baada ya kugundua ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya, AY ndiye aliyewaunganisha

Baada ya kuachia video mpya ‘Njoo’ iliyoongozwa na director Enos Olik, Shaa amezungumzia mambo kadhaa kuhusu collabo hiyo mpya na star mkubwa wa Kenya, Redsan ikiwemo sababu za kumchagua kumshirikisha pamoja na mtu aliyemsaidia kumpata Redsan kiurahisi na kufanya nae kazi. Shaa amesema baada ya kufanya utafiti aligundua Redsan ndiye msanii anayeheshimika zaidi Kenya ambaye […]

 

11 years ago

CloudsFM

JOH MAKINI: SWAHILI RAP NI BORA ZAIDI BARANI AFRIKA

Mkali wa ngoma ya ‘I See Me’ kutoka Weusi Kampuni, John Makini jana baada ya kuiachia ngoma yake hiyo, Joh Makini alifunguka kuwa rap za kiswahili ni nzuri sana kulinganisha na rap za lugha nyingine za barani Afrika.

 

10 years ago

Vijimambo

Huyu ndio Mtanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 bora wa Afrika wanaofanya Vizuri zaidi Duniani.







Herieth paul ndio mwanamitindo kutoka Tanzania aliyeongoza orodha ya Models 10 kutoka Afrika wanaofanya vizuri zaidi duniani, Herieth anakaa jijini New York,Marekani kwasasa.Hawa ndio ma Models wanaofatia kwenye orodha hiyo2.Maria Borges- Angola3. Betty Adowele - (Nigeria,Uingereza)4. Ajak Deng - (Sudan Kusini)5. Roberta Analciso - (Angola)6. Malaika Firth - (Kenya)7. Liya Kebede- (Ethiopia)8. Candice swanepoel - (South Afrika)9.Fatma Said - (Somalia)10.Anais Mali -(Chad)

 

10 years ago

BBCSwahili

Yaya Toure mwanasoka bora

Yaya Toure ndiye mchezaji bora wa mwaka .

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani