Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ENOCK KUZINDUA ‘KIZUNGUZUNGU KIMEWAPATA’

Stori: Andrew Carlos MSANII mkubwa wa nyimbo za Injili, Enock Jonas anatarajia kuzindua video ya wimbo wake mpya wa Kizunguzungu Kimewapata katika Kanisa la EAGT Sinza Makaburini kesho Jumamosi, Agosti 9. Msanii mkubwa wa nyimbo za Injili, Enock Jonas akipozi. Akizungumza na Ijumaa, Enock anayetamba na wimbo wa Zunguka alisema uzinduzi huo utaanza saa mbili asubuhi na hakutakuwa na kiingilio.… ...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM kizunguzungu

WAKATI leo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikisherehekea miaka 37 ya kuzaliwa kwake, mashambulizi baina ya makada wake yamezidi kushika kasi. Mashambulizi hayo yanayolenga makundi ya urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa...

 

10 years ago

Bongo5

I’m still very single — Recho Kizunguzungu

Recho is single and ready to mingle guys. Akiongea na Bongo5 hivi karibuni, Recho amedai kuwa bado hajampata mwanaume anayeweza kumuita wake na ambaye huenda wanaweza kuzaa watoto pamoja. “Bado nipo single, nafanya kazi kwanza, wanaume wapo,” alisema Recho baada ya kicheko kirefu. Recho anaamini kuwa ni rahisi kwa msichana mrembo na staa kama yeye […]

 

9 years ago

Bongo5

Music: Lady Queen Ft Enock Bella – Chunga Mzigo

Lady Queen 2

Hii ni Track mpya kutoka kwa Lady Queen amemshirikisha kijana Enock Bella kutoka (Yamoto Band), Wimbo unaitwa “Chunga Mzigo”. Producer Shirko.

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

MillardAyo

Makubwa mengine ya Enock Bella wa Yamoto Band ni haya…yanahusisha pilipili na maji

Enock Bella ni mwimbaji wa bandi ya Yamoto kutoka kwenye mikono ya mkubwa na wanae kundi linavijana wanne kila mmoja na kionjo chake cha sauti, usidhani ile sauti ya Enock wa yamoto band unayoisikia kwenye hits kadhaa imekuja tu hapana inalishwa pilipili Msanii huyo alikaa na ripota wa millardayo.com kwenye Exclusive siri ya sauti yake…kwenye […]

The post Makubwa mengine ya Enock Bella wa Yamoto Band ni haya…yanahusisha pilipili na maji appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

GPL

ENOCK SONTONGA NDIYE MTUNZI WA WIMBO WA ‘MUNGU IBARIKI AFRIKA’

Enock Sontonga, JE, unamfahamu mtu aliyetunga sauti (melody) ya wimbo ambao leo Watanzania wanauita Wimbo wa Taifa?Huyu ni Enock Sontonga, raia wa Afrika Kusini, aliyetunga mashairi ya wimbo wa ‘Mungu Ibariki Afrika’ ambao kwa lugha moja ya Afrika Kusini unajulikana kama ‘Nkosi Sikelel’ iAfrika’.  Sontonga alizaliwa mwaka 1873 na kufariki Aprili 18, 1905.Sauti ya wimbo huo imetumiwa na nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani