A-Z MR. NICE KULISHWA SUMU
![](http://api.ning.com:80/files/3ydo-rPuK9qpEkwt57hWXr*lKHlGk4K5OID9eWdwRwuK8pxu7pDi5BFXi0tHVYIiQGCTC8iM85TkmtXVUPefkosso3YhQXNX/nice.jpg?width=650)
Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’. Chande Abdallah MASIKINI! Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu hali iliyosababisha akimbizwe hospitali na kulazwa. Amani lina mkanda mzima. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania15 Oct
Kaka wa Jenerali Mwamunyange naye akanusha mdogo wake kulishwa sumu
Na Victoria Patrick, Dar es Salaam
KAMISHINA Msadizi na Mwandamizi mstaafu wa Jeshi la Polisi, Aden Mwamunyange ambaye ni kaka wa Mkuu wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Jenerali Davis Mwamunyange, naye amekanusha taarifa zilizoenezwa hivi karibuni katika mitandao ya jamii kuwa amelishwa simu.
Akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake Jeti Lumo, Dar es Salaam jana, alisema hizo taarifa hizo si za kweli na ni uzushi.
“Mimi kama mwana familia nakanusha taarifa hizo...
9 years ago
Bongo510 Nov
Mr Nice azungumzia tukio la kula chakula chenye sumu
![11821809_1675578409323823_1553764896_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/11821809_1675578409323823_1553764896_n-300x194.jpg)
Mr Nice amesema hakupenda kulichukulia tukio la kula chakula chenye sumu kama kiki ya muziki kutokana na tukio hilo kutaka kumtoa maisha yake.
Akizungumza na Nje ya Box ya Planet Bongo, EA Radio jana, Mr Nice alisema mpaka anapona hakujua ni nani aliyefanya tukio hilo na ni kwa nia gani.
“Yeah sikutaka kuongea na vyombo za habari kwa sababu ni kitu ambacho kilikuwa moja kwa moja kinaathiri maisha yangu,” alisema.
“Nikaona huu ni wakati wa kukaa na kutatua matatizo yangu kwa kuangalia ni...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s72-c/page3.jpg)
MPENZI WA MR NICE AJIFUNGUA MTOTO WA KIKE, NICE ASEMA NDO MTOTO WAKE WA MWISHO
![](http://2.bp.blogspot.com/-mvJhpG_tQ94/VUHK99dCOhI/AAAAAAABM9U/f02aL7fUK0M/s1600/page3.jpg)
Mr Nice ambaye ni baba wa watoto wawili kwa sasa, Collin na Nicole, ameiambia Bongo5 kuwa Nicole ni mtoto wake wa mwisho ili aweze kuwatengezea maisha mazuri.“Sasa hivi ni uzazi wa mpango, huyu kwangu ndo mtoto wa mwisho, kuzaa tu kama mbwa itakuwaje? mwishowe utashindwa kuwatengenezea maisha mazuri,” alisema Nice.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ddTCHyz3Hmw8zIHKqYSjnYCMCMBTW7HcICkw1a5GZs0LP0L8JiM43oCPjAAkaCY7-zFPha-Ezm6nI9ZJ9ZLrWrknG4XYILTz/Wema.jpg?width=650)
WEMA AGOMEA KAJALA KULISHWA KEKI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kt*hMWIEF*C1yyrB6It65*r-xA5-F7o5MyXBKviW7sXLM0aJH2S6Z7VKPrqYWjdYt05LvHq3UZVPXhZpNiiMkG64TOod*ctU/dogswallpaperfordektop.jpg?width=650)
WAKAZI JIJINI MWANZA WAHOFIA KULISHWA NYAMA YA MBWA!
11 years ago
Dewji Blog17 May
Nice Little Beliefs!
1. Once, all villagers decided to pray for rain, On the day of prayer all the People gathered but only one boy came with an umbrella.
THAT’S FAITH!
2. When you throw a baby in the air, She laughs because she knows you will catch her.
THAT’S TRUST!
3. Every night we go to bed, without any assurance of being Alive the next morning but still we set the alarms to wake us up.
THAT’S HOPE!
4. We plan big things for tomorrow in spite Having zero knowledge of the future.
THAT’S...
10 years ago
TheCitizen27 Jan
It is not your past, you are just not a nice person!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yl8XiM-qOZYfSuObMs1yfXnw*MLJeR49gM-w5P8tsngEHwnvhg6RrQYpcxqHsba9pXAkbjE4ngoFfwIeWKoQklZLTkUdncy9/nice.jpg?width=650)
MR NICE ABONDWA TENA