Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mr Nice azungumzia tukio la kula chakula chenye sumu

11821809_1675578409323823_1553764896_n

Mr Nice amesema hakupenda kulichukulia tukio la kula chakula chenye sumu kama kiki ya muziki kutokana na tukio hilo kutaka kumtoa maisha yake.

11821809_1675578409323823_1553764896_n

Akizungumza na Nje ya Box ya Planet Bongo, EA Radio jana, Mr Nice alisema mpaka anapona hakujua ni nani aliyefanya tukio hilo na ni kwa nia gani.

“Yeah sikutaka kuongea na vyombo za habari kwa sababu ni kitu ambacho kilikuwa moja kwa moja kinaathiri maisha yangu,” alisema.

“Nikaona huu ni wakati wa kukaa na kutatua matatizo yangu kwa kuangalia ni...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

JB Afunguka Kula Chakula Chenye Sumu Yeye na Steve Nyerere

Wasanii wa filamu za Kibongo, Jacob Steven ‘JB’ na Steve Nyerere wikiendi iliyopita inasemekana walikula chakula chenye sumu,ambapo mpaka sasa Steve Nyerere bado amelazwa hospitali.

B amezungumza na 255 kupitia XXL na kusema hivi:

‘’Siku ya Ijumaa tulikula kitimoto na vyakula tofauti tofauti sasa asubuhi yake ndio tumbo likaanza kuniuma niliendesha sana nikaenda hospitali nikapewa dawa nilivyokunywa hazikunisaidia usiku wake tumbo likaniuma sijawahi kuumwa tumbo kama nilivyoumwa siku ile...

 

9 years ago

GPL

A-Z MR. NICE KULISHWA SUMU

Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’. Chande Abdallah MASIKINI! Msanii aliyewahi kubamba kwa staili ya Tanzania, Kenya na Uganda (Takeu), Lucas Mkenda ‘Mr. Nice’ hivi karibuni alinusurika kifo baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu hali iliyosababisha akimbizwe hospitali na kulazwa. Amani lina mkanda mzima. Kwa mujibu wa chanzo cha karibu na...

 

11 years ago

GPL

SOYA: CHAKULA CHENYE KINGA NA TIBA

Mpendwa msomaji. Bado tupo katika kudadavua faida za kiafya zitokanazo na chakula. Leo, tutaizungumzia Soya ambayo ni maarufu sana nchini lakini kwa bahati mbaya wengi hawajui kuwa ni chakula chenye tiba ndani yake. Ajabu ya chakula hiki ni pale kinapompa nguvu mgonjwa haraka bila kujali aina ya ugonjwa anaoumwa. Katika ulimwengu wa vyakula, kuna maajabu mengi katika kukitumia chakula kama tiba na kinga ya maradhi. Mwaka 1999,...

 

11 years ago

Habarileo

Mafuta ya kula yaliyo juani sumu

WANANCHI wametakiwa kuacha kununua mafuta ya kula, yanayouzwa yakiwa yamewekwa juani, kutokana na kuwa na athari kubwa kiafya, ikiwemo kusababisha ugonjwa wa saratani. Mkaguzi wa Chakula kutoka Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Kanda ya Kati, Albert Deule alisema hayo juzi wakati akijibu maswali ya washiriki wa mafunzo kwa wajasiriamali wa Mamlaka ya Mji mdogo wa Kibaigwa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu 300 wahofiwa kula sumu Bulyanhulu

Zaidi ya watu 323 wakazi wa Kijiji cha namba 9 katika Kata ya Bulyanhulu wilayani Kahama mkoani Shinyanga, wanahofiwa kula sumu kali aina ya sodium cyanide inayotumiwa katika Mgodi wa Dhahabu wa Bulyanhulu unaomilikiwa na Kampuni ya Acacia.

 

11 years ago

Bongo5

Dude azungumzia taarifa za gari lake kuhusishwa na tukio la ujambazi

Baada ya gari la muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ kukamatwa na polisi jijini Dar es Salaam likihusishwa na tukio la ujambazi linalodaiwa kutokea Kijitonyama, amezungumzia nini kinaendelea kwenye madai hayo. Akizungumza na Bongo5 leo, Dude amesema kuwa ni kweli gari yake imedaiwa kuhusishwa na tukio hilo lakini uchunguzi unaendelea wa kuwatafuta wahusika […]

 

11 years ago

CloudsFM

KAMANDA WA POLISI KINONDONI AZUNGUMZIA TUKIO LA BASI LA MAGEREZA KUSHAMBULIWA KWA RISASI

GARI la Magereza lililokuwa limebeba mahabusu likitokea Mahakama ya Mwanzo Kawe kwenda Mahakama ya Wilaya ya Kinondoni, Dar es Salaam, limeshambuliwa kwa risasi na mtu asiyefahamika.Wakati tukio hilo likitokea jana mchana maeneo ya Mikocheni na kusababisha askari Magereza wawili, akiwemo dereva na mahabusu kujeruhiwa, aliyekuwa Kaimu Balozi wa Libya, Ismail Nwairat, alifariki dunia kwa kujipiga risasi.
Kamanda wa Polisi, mkoa wa Kinondoni, Camillius Wambura, akithibitisha tukio la gari la...

 

10 years ago

Michuzi

UPDATES: TAARIFA YA NYONGEZA/UFAFANUZI YA TUKIO LA KULA NJAMA NA KUJARIBU KUMTOROSHA ASKOFU JOSEPHAT GWAJIMA AKIWA HOSPITALI

Leo tarehe 30/03/2015 waandishi wa habari walifika kituo Kikuu cha Polisi wakitaka kujua uhalali wa silaha iliyokamatwa tarehe 29/03/2015. Silaha hiyo ni Bastola aina ya BERRETA yenye namba CAT5802 ikiwa na risasi tatu. Pia zilikamatwa risasi 17 za Short Gun.
Ufafanuzu ni kama ifuatavyo:
Uchunguzi wa kina na wa kitaalam sasa umethibitisha kwamba silaha hiyo inamilikiwa kihalali na Askofu Josephat Gwajima. Kuhusu risasi 17 za Short Gun ni kwamba Askofu Gwajima anamiliki Bunduki...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani